Sio Moro yaani Morogoro bali kuna gereza linaitwa Molo lipo sumbawanga mkoani Rukwamoro hakuna gereza la jina hili mdau,,,,
Hv ww unajielewa kweli? Uliza mtoto hata wa darasa la saba analijua gereza la moro lililoko Sumbawanga au uajiongezea idadi ya post tu? St........d
itabidi mfungwe woteeee, mnapenda sana magereza!!! kule kila k2 bureeeee
asante mdau,jamaa aliita MOROSio Moro yaani Morogoro bali kuna gereza linaitwa Molo lipo sumbawanga mkoani Rukwa
Guantanamo bay-kigoma!
Magereza mengi nijuavyo mimi yalijengwa enzi za ukoloni hivyo yalipewa majina ya maeneo husika kama, Gereza Ukonga - Ukonga, Gereza Songwe - Songwe, Gereza Mugumu - Mugumu Mara n.k
Hahaha umenikumbusha mbali Kweli Songwe gereza wanagonga kaz si mchezo.
Hv ww unajielewa kweli? Uliza mtoto hata wa darasa la saba analijua gereza la moro lililoko Sumbawanga au uajiongezea idadi ya post tu? St........d
Sio MORO linaitwa MOLO
kule kila k2 bureeeee