Majina ya kitanzania yanayosound kimamlaka na nguvu

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Nov 22, 2022
1,689
3,264
Kuna majina ukiyasikia tu unaona hili linawakilisha mamlaka. Yaani jina linakuwa na nguvu ndani yake. Umewahi sikia jina gani la mtanzania ukasema hili linasound kimamlaka na nguvu hasa?

1. Jidula Mabambasi
2. Kaselabantu
3. Fundikira
4. Kunjakuwili
5........
 
Back
Top Bottom