Majina na uhalisia (Without Prejudice)

mayenga

JF-Expert Member
Sep 6, 2009
4,118
1,966
Nimekuwa nikijiuliza uhalisia wa jina la mtu na matendo yake,lakini nikakumbuka msemo wa kikwetu usemao"Eibala libi lita nyinalyo" kwa tafsiri isiyo rasmi ikiwa na maana kwamba jina baya huashiria mabaya kwa mwenye nalo mfano majina kama Tabu,Domo Kaya nk,ni rahisi kukuta watu hao wakiendana na matukio yenye kufanana na majina hayo.Kwa upande mwingine kuna majina mengine ya kigeni kama Diana , Lucy,Anna,Penina nk,kwa uchunguzi wangu majina haya ni ya kushangaza.Mfano watu ninaowajua wenye kuitwa jina la Lucy,na Anitha weng hawajatulia,vijana wa mjini wanasema ni milupo,watu wengi wenye majina ya Penina ni watulivu na wapole.

Nipeni uzoefu wenu kwenye hili.
 
I see hapo kwenye penina nakubishia kuna mdada mmoja yeye ni clearing agent anaitwa penina hakuna mtu kwenye kazi ya u clearing asiemjua yaani huyo dada ni full mcharuko. Kama unabisha uliza mtu yoyote ndani ya mamlaka ya bandari au custo,s wanao dela na clearence za magari/kontena au agent yoyote atakupa full mkanda.

Majina ya kizungu yana maana kama zetu na mengine yana maana mbaya sana mfano jina la Diana sio jina zuri kumpa mtoto wako kwani ni jina la kipagani lenye maana "mungu mwanamke wa mapenzi" (sexy) wa kigiriki. he girl's name
Diana \di(a)-na\ is pronounced dy-ANN-ah, dee-AHN-ah. It is of Latin origin, and the meaning of Diana is "divine". Mythology: Diana was an ancient Roman divinity who came to be associated with the Greek god Artemis

Mfano mwingine ni Nyota kuna mwanadada muimbaji anaitwa Nyota Waziri jina la nyota lina maana sawa na Stella.
The girl's name Stella \s-tella, st(el)-la\ is pronounced STEL-ah. It is of Latin origin, and the meaning of Stella is "star". Mostly literary use until the 19th century, when the name became popular. Linked in most minds to the movie "A Streetcar named Desire", where Marlon Brando bellowed "Stella!"
 
Inategemeana na majina yanatoka wapi,kwa wenye kutoa majina toka kwenye makabila yao huwa majina wayatoayo huwa mara nyingi hushahabiana kabisa na tabia za yule ambaye jina limetoka kwake ila kwa majina haya ambayo tumeyapata toka kwa wazungu mara nyingi yana maana zake ingawa ni nadra sana kushahabiana na tabia za jina halisi.
 
with lucy mmmh wengi niwajuao ni full mcharuko kwakweli,grace wengi wapole,nema its a two way side,allan wengi ma silent killer wakimnya sana wanamake friends easily lkn hawajatulia,derick,napenda jina hili lkn sijui tabia zao
 
Tabia ya mtu ina viashiria vingi kama vile wazazi ambao wanakupatia jina, urithi wa vichocheo vya mwilini (vinasaba) kutoka kwa wazazi au mababu! watu unaoishi nao, marafiki, tabia ya jamii unayoishi, utashi wako kulingana na mafundisho unayoyapata kutoka sehemu mbalimbali.
Jina kama jina halina chochote ila inategemea wakati mwingine na athari za kisaikolojia mtu anapokuwa amepevuka ki-ufahamu akahisi kwamba jina lake lazima liendane na maana yake! mfano MUTALEMWA! maana asiyekubali kushindwa! hivyo mtu huyo atajitahidi kufanya mambo na wakati mwingine kulazimisha ili mafanikio yake yaendane na jina lake! ingawa si kwa wote na wakati wote!
 
Pearl,Preta,Mwanajamii 1,Husninyo,Shosti,Tatiana,Ms Judith na Michelle je?................LOL
 
To some extent nakubaliana na ww kuwa jina laweza kubeba tabia ya mtu lakini mazingira yanachangia pia
 
Birungi,birunji,karungi- yote yana maana ya kizuri/vizuri na mazuri.wengi wa majina haya nimewaona ni wazuri wenyewe na hata tabia zao.

alex- ni majina mazuri na mara nyingi huwa wapole na wawajibikaji,mpiganaji, pia hujali familia zao no matter what.

violeth- hawapo real,wanapenda wajionyeshe tabia ambazo sio zao

ritha-huwa wazuri wa mvuto wengi wanapenda kazi za sanaa au media japo si wote wanatimiza kufanya hivyo.ni wasiri sana.

brenda -wengi huwa na sura za upole ila tabia zisizotafsilika.

anyway mara nyingi sana matendo ya mtu huendana sana na nyota yake.
 
u
Nimekuwa nikijiuliza uhalisia wa jina la mtu na matendo yake,lakini nikakumbuka msemo wa kikwetu usemao"Eibala libi lita nyinalyo" kwa tafsiri isiyo rasmi ikiwa na maana kwamba jina baya huashiria mabaya kwa mwenye nalo mfano majina kama Tabu,Domo Kaya nk,ni rahisi kukuta watu hao wakiendana na matukio yenye kufanana na majina hayo.Kwa upande mwingine kuna majina mengine ya kigeni kama Diana , Lucy,Anna,Penina nk,kwa uchunguzi wangu majina haya ni ya kushangaza.Mfano watu ninaowajua wenye kuitwa jina la Lucy,na Anitha weng hawajatulia,vijana wa mjini wanasema ni milupo,watu wengi wenye majina ya Penina ni watulivu na wapole.

Nipeni uzoefu wenu kwenye hili.

Uko sahihi
 
inaweza kuwa sahihi kwa upande Fulani

Mfano Kelvin wengi ni watundu sana
Mwamvita,Mwamvua Veronika wengi micharuko sana
Mwajuma,Amina Chausiku Ashura waongeaji sana plus misuto
Deborah asilimia kubwa ni mashauzi sana
Vivian Nancy watulivu wana akili warembo pia
Latifah asilimia kubwa huwa ni wazuri sana
Mateso mawazo taabu shida manyanyaso masumbuko mara nyingi maisha yao yanaandamwa na majina yao

Stand to be corrected hayo yote nimetoa hapo kutokana na experience yangu ya watu wenye hayo majina
 
Back
Top Bottom