Kutokwa majimaji ukeni ni jambo la kawaida na nature yake huwa ni colourless km ute wa yai na kawaida hautoi harufu mbaya. Majimaji hayo huongozwa na hormones, huongezeka prior to ovulation and after ovulation hupungua.
Inawezekana ukawa na infections either bacteria au fungus. Kuna maswali ya kujiuliza hapa, kwanza nature ya majimaji hayo, yana rangi gani?
Je unawashwa sehemu za siri?
Harufu ikoje? Kuna aina moja ya bacteria wao husababisha uke kutoa harufu km shombo ya samaki.
Mara nyingi infection ya uke huendana na infection ya urinary truck. Je una homa, mkojo una rangi gani kawaida au nao umebadilika rangi? Ukiwa unakojoa unajisikiaje, kuna maumivu yoyote?
Baada ya kujiuliza hayo maswali nakushauri uende ukamwone daktari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.