Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

yaani jamaa mjinga kweli huyu Muhongo,kama ni hivyo basi wafanyakazi wangekuwa hawakatwi PAYE ila wangekuwa wanalipwa hela zote halafu badaye ndo walipe kodi
mlisema hela yote ni ya umma.
kama madai ni kodi waulizwe TRA
 
Ukweli unaujua kuwa maboss wako wamekwapua pesa za escrow na inatuumiza sisi wananchi,hatuna mgao kama wewe
Hakuna aliyekwapua bali fedha zimechukuliwa kihalali. Tena mpaka mafisadi kama Chenge na Ngeleja wamelamba mgawo wao
 
Mimi kama Mtanzania wa kawaida, nimeamua kuacha rasmi kufatilia suala la Escrow, hii ni baada ya serikali dhaifu ya ccm chini ya uongozi wa goigoi Kikwete, kuamua kutudanganya umma wa watanzania bila aibu kupitia kwa waziri Muhongo, kwamba hela za zilizochotwa si za umma. Ama kweli ccm ina uwezo wa kubadili nyekundu kuwa njano.
 
Kuna madudu mengi sana serikalini. Je ni vigezo gani vilitumika kutoa kandarasi kwa mkono advocates? ilitangazwa au aliteuliwa tu? Hii wizara inahitaji clean up ya hali ya juu.
 
Hapana Mkuu. Mkono ni Mzalendo sana. Wasio wazalendo ni wale wanaotaka uraia pacha. Kwani umeambiwa Mkono ana uraia pacha?
 
Kiongozi, katika hali iliyopo, tegemea chochote tu. Yote yanawezekana. Maandalizi inaweza kuwa yalifanyika mapema kwa sababu report iliibwa na uwezekano mkubwa ni kwamba wangeweza kuipata hata kabla ya kuibwa.

Kama ni kurefute report ya PAC, kutakuwa ni kwa mabavu na si kwa point kwa sababu PAC katayarisha kwa msingi wa CAG na Takukuru baada ya thorough research.

PAC waki conspire, ama kufanya drama yoyote tutaona. Tutaamua nini kifuate.

sawa mkuu! Ila binafsi nimeanza kukosa imani na hawa watu!
 
Subiri dawa iingie wewe unarukaruka nini?

Dawa gani mkuu hapo?inamaana kwakua Tanesco bado inadaiwa na IPTL ndio TRA isiwe na haki ya kuchukua kodi yetu?hesabu za wapi hizo mkuu soma uelimike?kila pesa lazima itolewe kodi,huwezi kutoa pesa kavu kavu bila kodi,utaendeshashe nchi bila kodi?ile pesa ni ya UMA,pia hajaeleza kwanini ile hela ya ziada haijarudishwa Tanesco.Hesabu za Muhongo ni za makaratasi!
 
sahihi mkuu kapangua hoja zote za PAC kwenye hili kweli kazihilisha kuwa yeye ni prof.
 
Jibu swali wee mburula, hicho cha moto ndio huku ku-post vimaneno maneno ukiwa nyuma ya keyboard? Sasa kama unajiamini hebu thubutu uje uone kilichomfanya kuku kuanza kutaga!

Mburula ni wewe na nani.......zako,wewe hujui cha moto au sio mtanzania,unataka kuning'oa kucha bila ganzi? utaniweza? jaribu unaweaz ukawa na bahati hiyo
 
CAG/PCCB, walitoa report zao kwa aliyewapa kazi. PAC ndiyo ilitoa mchanganuo na mapendekezo yake bungeni. CAG/PCCB kufanya presentation bungeni ili hitaji mchakato na arrangements zingine.

Mhongo anapoteza muda na kujaribu ku manipulate kwa ku appeal kwenye emotions za watu!.


Kama case ilikuwa ni kuwasilisha report ya CAG na TAKUKURU why then hizo taarifa zao CAG/ PCcB zisingesomwa direct bungeni?
 
Mkuu, kwani kwa uelewa wako wapi kajifunga? Mbona mnabwabwaja tu kama Zitto?

Tatizo lenu kama alivyosema jana Spika Anna Makinda mnamuattach mtu badala ya issue,the same to Muhongo,ameattach watu badala ya issues.Kuna maswali ya msingi kabisa ambayo nimejiuliza baada ya kumsikiliza hajayajibu kwa facts zaidi ametumia SIASA.

Pole siangalii mtu naiangalia FACT kama Serikali na si Kama MUHONGO!Muhongo amejibu kwa niaba ya SERIKALI nimejibu kulingana na hilo.

Angalia usimu-attach Zitto au Kamati yake, go with the facts.Na ndicho kilichofanyika hata wakati wa BMK mnapenda kuattch watu badala ya FACTS
 
kwa wataalamu wa mitambo ya kuzalishia umeme! Naomba kujulishwa bei za mitambo mipya ya kuzalisha 100MW.
 
Back
Top Bottom