Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
- Thread starter
- #61
Usahuri wangu kwa Ben. Usiwe mwepesi kutumika ktk mambo yasiyokuwa sahihi. Anayekutuma anakudharau kwa kuona unatekeleza jambo lake la kipumbavu. Kabla hujasema kitu, na hasa kinachohusu Taifa hili, jitahidi kufanya utafiti wa kutosha, usiwe kama Dr. Wilbroad Slaa anayetangaza vifo vya watu kila kukicha bila ya kuwa na uhakika na taarifa anazoletewa. Hakuna hukumu ya kukaa kimya, bali kuna hukumu, tena kubwa ya kusema uongo. Naenda kulala, tutakutana tena nikiamka.
Sijatumwa na yeyote.Sasa kumbe unajua umuhimu wa tafiti sio?Sasa mbona unasema uongo bila kufanya Tafiti?Sitaki kuingia katika mtego wa kuhisi kuwa wewe umetumwa au unatumika,ila sitaki kufikiria hivyo kwa sababu utanishushia upeo kufikiri.Huwa ninajadili issues based on facts and credibility Period.Nitarudi bado