Majibu ya Membe: Mchango wa Tanzania kutatua mgogoro wa Libya ni Kupitia African union(A.U)

Tatizo gani la Afrika liliweza kutatuliwa na AU? Hadithi za Pwagu hizo Somalia imewashinda wataweza ya Libya? Membe na viongozi wenzake wa CCM wakae kimya na wamalize matatizo ya Watanzania ambayo yanawashinda hiki kimbelembele chao hakiwasaidii walipa kodi wa Tanzania ambao wanalipa mishahara yao minono na kuweza kuweka chakula mezani kwao.

Typical of a vindictive and malicious person. Discussion hii kwa muda mrefu imejikita kwenye personalities na vitu vya kufikirika. Hivi umeambiwa hao BRIC au hayo mataifa unayoyazungumzia wana policies ambazo hazifungamani au haziangalii maslahi ya wakubwa? Mengi yaliyozungumzwa humu ynalenga ku-discredit waziri as if kuna mambo yalikuwepo huko nyuma na sasa yameharibiwa na yeye. Niambie ni wakati gani katika historia ya nchi hii sisi tulikuwa na sauti kwenye vyombo vya maamuzi huko UN kama Security Council? Sasa unalaumu nini leo? Issue ya Somalia ni fupa ambalo limeishinda dunia nzima ni hiyo ni kwa sababu za historia ya Somalia na nature ya society yao na hata namna mgogoro wao ulivyo. Sasa ulitegemea kwamba kipimo cha ufanisi wa AU ni kuangalia suala la Somalia? Mbona hata South America unaowa-adore wameshindwa kutatua tatiza la Colombia na FARC na limekuwepo kwa miongo kadhaa sasa na bado wewe unaona kwamba wako okay.

Ukweli ni kwamba mijadala mingi ya watu wa aina ya Ben ni ile ambayo imechochewa na ajenda nyingine na inayochomekwa na watu wenye ajenda binafsi na ndiyo maana watu wanatoa disclaimer kabla kwa sababu wanajua kwamba ita-attract criticism ya hali ya juu kutoka kwa watu ambao ni objective and right thinking. Ukweli ni kwamba ubora wa foreign policy ya nchi siyo kuwa na policy yenye ukinzani na Marekani maana hata Blair na ukubwa na historia ya kutukuka ya nchi yake bado alikuwa perceived kwamba anaendeshwa au kutumikia sera ya nje ya Marekani. What is a big deal about us here?
 
Typical of a vindictive and malicious person. Discussion hii kwa muda mrefu imejikita kwenye personalities na vitu vya kufikirika. Hivi umeambiwa hao BRIC au hayo mataifa unayoyazungumzia wana policies ambazo hazifungamani au haziangalii maslahi ya wakubwa? Mengi yaliyozungumzwa humu ynalenga ku-discredit waziri as if kuna mambo yalikuwepo huko nyuma na sasa yameharibiwa na yeye. Niambie ni wakati gani katika historia ya nchi hii sisi tulikuwa na sauti kwenye vyombo vya maamuzi huko UN kama Security Council? Sasa unalaumu nini leo? Issue ya Somalia ni fupa ambalo limeishinda dunia nzima ni hiyo ni kwa sababu za historia ya Somalia na nature ya society yao na hata namna mgogoro wao ulivyo. Sasa ulitegemea kwamba kipimo cha ufanisi wa AU ni kuangalia suala la Somalia? Mbona hata South America unaowa-adore wameshindwa kutatua tatiza la Colombia na FARC na limekuwepo kwa miongo kadhaa sasa na bado wewe unaona kwamba wako okay.

Ukweli ni kwamba mijadala mingi ya watu wa aina ya Ben ni ile ambayo imechochewa na ajenda nyingine na inayochomekwa na watu wenye ajenda binafsi na ndiyo maana watu wanatoa disclaimer kabla kwa sababu wanajua kwamba ita-attract criticism ya hali ya juu kutoka kwa watu ambao ni objective and right thinking. Ukweli ni kwamba ubora wa foreign policy ya nchi siyo kuwa na policy yenye ukinzani na Marekani maana hata Blair na ukubwa na historia ya kutukuka ya nchi yake bado alikuwa perceived kwamba anaendeshwa au kutumikia sera ya nje ya Marekani. What is a big deal about us here?

Bwana Mwambene aka Mbopo ningeshangaa sana kama usingejitokeza kuzungumzia hili. MY TAKE: Waziri wako aache mikogo afahamu majukumu yake Tanzania ina historia na nguvu katika Afrika. Jambo hili mnaanza kulidhalilisha nyie foreign wa siku hizi. Ndio maana vimisaada vidogo vya Gadaf sasa vinawafanya kuwa vipofu, mnaogopa kumsema kwa wema ama ubaya! Toeni kauli kama taifa na huo ndio msimamo wetu wananchi, ukimya hauwapi sifa kama wizara hamuiwezi acheni nendeni mkafanye kazi zingine hasa ile ya kuelekea 2015.
 
Bwana Mwambene aka Mbopo ningeshangaa sana kama usingejitokeza kuzungumzia hili. MY TAKE: Waziri wako aache mikogo afahamu majukumu yake Tanzania ina historia na nguvu katika Afrika. Jambo hili mnaanza kulidhalilisha nyie foreign wa siku hizi. Ndio maana vimisaada vidogo vya Gadaf sasa vinawafanya kuwa vipofu, mnaogopa kumsema kwa wema ama ubaya! Toeni kauli kama taifa na huo ndio msimamo wetu wananchi, ukimya hauwapi sifa kama wizara hamuiwezi acheni nendeni mkafanye kazi zingine hasa ile ya kuelekea 2015.
Msimamo wa nchi umeshatolewa na mh waziri,wataka msimamo upi zaidi ya huo?
 
Msimamo wa nchi hautolewi kwa kujibu swali la Mwandishi nje ya Bunge! Wewe Mbopo aka Sangara nadhani unatakiwa kuwazia majaliwa yako na ya kazi yako na sio kuleta usharobaro wenu humu.
 
Msimamo wa nchi hautolewi kwa kujibu swali la Mwandishi nje ya Bunge! Wewe Mbopo aka Sangara nadhani unatakiwa kuwazia majaliwa yako na ya kazi yako na sio kuleta usharobaro wenu humu.

Mbona unafilisika kihoja ndugu yangu.nakuomba usijaribu kuunganisha watu bila kuwa na uhakika tafadhali.
tukirudi kwenye hoja ya msingi,utaratibu wa kutoa msimamo wa nchi upoje? kuhojiwa na mwandishi na kutoa msimamo kuna mapungufu
yapi?
 
asingeulizwa sali hivyo msimamo wa nchi usingetolewa? Tena anajifanya hili swali zuri sana nilitarajia niulizwe bungeni, nyambafu kabisa kama alijua ni muhimu kwa nini asizungumze humo humo bungeni ili aulizwe maswali ya nyongeza? MY TAKE: Hadi sasa Tanzania ni bubu kuhusu mambo yote yanayotokea ukanda wa nchi za Kiislam na nilitegemea sharobaro huyu aliyekuwa akifagilia OIC ndiye aibuke kimbele front kuzungumzia lakini kwa kuwa maisha yake sasa ni ndoto za 2015 anajifanya kuruka hoja. Kwa taarifa yako tunamsubiri and this time hoja ya udini wala asidhani inaweza kumsaidia na hata hoja ya kuwa MFAIC asiitegemee ataishia kucheza ngoma juani
 
asingeulizwa sali hivyo msimamo wa nchi usingetolewa? Tena anajifanya hili swali zuri sana nilitarajia niulizwe bungeni, nyambafu kabisa kama alijua ni muhimu kwa nini asizungumze humo humo bungeni ili aulizwe maswali ya nyongeza? MY TAKE: Hadi sasa Tanzania ni bubu kuhusu mambo yote yanayotokea ukanda wa nchi za Kiislam na nilitegemea sharobaro huyu aliyekuwa akifagilia OIC ndiye aibuke kimbele front kuzungumzia lakini kwa kuwa maisha yake sasa ni ndoto za 2015 anajifanya kuruka hoja. Kwa taarifa yako tunamsubiri and this time hoja ya udini wala asidhani inaweza kumsaidia na hata hoja ya kuwa MFAIC asiitegemee ataishia kucheza ngoma juani


Kabla sijachangia hoja hii ningependa kwanza maana ya "SHAROBARO". Sisi wengine bado ni "washamba" wa maneno.
 
Oyoyoo,

Nimeomba tafsiri ya neno "SHAROBARO" uliyoitumia ktk kuchangia hoja iliyopo mbele yetu, lakini kwa mshangao bado sijapata, je kuna kikwazo gani ktk hilo? Nimejieleza vizuri sana kuwa mie ni mshamba wa maneno, hivyo nisingependa kuchangia hoja bila kujua maneno yaliyotumika na wachangiaji wenzangu wazuri kama wewe. Please, just drop a line of it's explanation so that I can make my contribution in proper way this topic.
 
Typical of a vindictive and malicious person. Discussion hii kwa muda mrefu imejikita kwenye personalities na vitu vya kufikirika. Hivi umeambiwa hao BRIC au hayo mataifa unayoyazungumzia wana policies ambazo hazifungamani au haziangalii maslahi ya wakubwa? Mengi yaliyozungumzwa humu ynalenga ku-discredit waziri as if kuna mambo yalikuwepo huko nyuma na sasa yameharibiwa na yeye. Niambie ni wakati gani katika historia ya nchi hii sisi tulikuwa na sauti kwenye vyombo vya maamuzi huko UN kama Security Council? Sasa unalaumu nini leo? Issue ya Somalia ni fupa ambalo limeishinda dunia nzima ni hiyo ni kwa sababu za historia ya Somalia na nature ya society yao na hata namna mgogoro wao ulivyo. Sasa ulitegemea kwamba kipimo cha ufanisi wa AU ni kuangalia suala la Somalia? Mbona hata South America unaowa-adore wameshindwa kutatua tatiza la Colombia na FARC na limekuwepo kwa miongo kadhaa sasa na bado wewe unaona kwamba wako okay.

Ukweli ni kwamba mijadala mingi ya watu wa aina ya Ben ni ile ambayo imechochewa na ajenda nyingine na inayochomekwa na watu wenye ajenda binafsi na ndiyo maana watu wanatoa disclaimer kabla kwa sababu wanajua kwamba ita-attract criticism ya hali ya juu kutoka kwa watu ambao ni objective and right thinking. Ukweli ni kwamba ubora wa foreign policy ya nchi siyo kuwa na policy yenye ukinzani na Marekani maana hata Blair na ukubwa na historia ya kutukuka ya nchi yake bado alikuwa perceived kwamba anaendeshwa au kutumikia sera ya nje ya Marekani. What is a big deal about us here?

Tuache suala la FARC, hebu Ben atueleze suala la Belfast na UK yake kwa ujumla, yeye analionaje? Analisemeaje? au anaona ni sawa tu? Kasumba hii ni mbaya sana, na hasa unapoona inafanywa na watu wa aina ya akina Ben. Kuanzia mwanzo mimi nilisema hapa kuna jambo, sio bure hata kidogo. Niliona kabisa kuna "ushabiki mandazi" fulani unaoendelea. Jana nilikaa kwa muda mrefu ktk hoja hii, niliuza maswali yangu mengi, mpaka sasa sijajibiwa, basi hata hili la kujua maana ya "SHAROBARO" nalo tunahitaji kwenda kuagua kwa waganga wa kienyeji?
 
SHAROBARO ni swaga yaani kama KAMATI MWIZI MEEN AMA NATAKA MRIJA BAAB, kama hapo napo hujaelewa nenda shule za slang za Bongo meen!
 
Usahuri wangu kwa Ben. Usiwe mwepesi kutumika ktk mambo yasiyokuwa sahihi. Anayekutuma anakudharau kwa kuona unatekeleza jambo lake la kipumbavu. Kabla hujasema kitu, na hasa kinachohusu Taifa hili, jitahidi kufanya utafiti wa kutosha, usiwe kama Dr. Wilbroad Slaa anayetangaza vifo vya watu kila kukicha bila ya kuwa na uhakika na taarifa anazoletewa. Hakuna hukumu ya kukaa kimya, bali kuna hukumu, tena kubwa ya kusema uongo. Naenda kulala, tutakutana tena nikiamka.
 
SHAROBARO ni swaga yaani kama KAMATI MWIZI MEEN AMA NATAKA MRIJA BAAB, kama hapo napo hujaelewa nenda shule za slang za Bongo meen!

Hebu iweke vizuri kabla sijaenda kulala, maana kuna kitu naona kinafaa kukiweka sawa hapa ktk "slang" yako. Very interesting, maana nahisi naanza kupata picha ya mtu wa namna gani wewe.
 
Mcheki D-KNOB akwambie juu ya elimu imekuwa biashara tutasomaje, elimu ya mtaani dot.com mnaionaje, nadhani hilo song unalikumbuka na huko ndiko kuliko na shule za swaga za Bongo meen!
 
Hii kitu inanikera ni tabia ya kuchafua wagombea wa wengine wakati wenu mnawaficha! Tutaonana wabaya hapa maana nawajua wote mlioko nyuma ya hii thread
 
Nilichoweza kukipata ktk mtandao ulionipa ni hicho hapo chini. Bado narudi kwako. "SHAROBARO" maana yake nini?

Mtaani.com Server Details

IP address: 67.18.137.153
Server Location: Houston, TX in United States
ISP: THEPLANET.COM INTERNET SERVICES

Mtandao huu unasomeka kuwa umeisha expiry, hivyo washauri wanaomiliki wakaulipie, ni hela kidogo tu.
 
Nilichoweza kukipata ktk mtandao ulionipa ni hicho hapo chini. Bado narudi kwako. "SHAROBARO" maana yake nini?

Mtaani.com Server Details

IP address: 67.18.137.153
Server Location: Houston, TX in United States
ISP: THEPLANET.COM INTERNET SERVICES

Mtandao huu unasomeka kuwa umeisha expiry, hivyo washauri wanaomiliki wakaulipie, ni hela kidogo tu.

Mzee unaonekana Mbwiga sana meen! Hilo ni songi la D-Knob na sio website! Nilidhani swaga zake unazinyaka kumbe mzee hujakaa kitaa sasa la kukwambia wahi Loliondo ukamate cup meen kisha utakuwa mkaree! Si umenitachi sio?
 
Sasa nimeanza kuelewa kuwa nachangia hoja na mtu wa namna gani. Hivi ni wangapi watu wangapi wanasikiliza nyimbo hizo? Hivi ktk hoja muliyotumwa kuileta hapa, mulikuwa na maana ya kutuletea "USHAROBARO" huo? Nadhani ni vizuri kwa kulinda heshima yako iliyobakia kidogo, ujifunze kutokutumiwa. Unatakiwa kuamua UISHI KAMA MWANAMKE AU MWANAUME. Baada ya maamuzi hayo, unafanya vitendo vinavyofanana na maamuzi yako.
 


Kabla sijachangia hoja hii ningependa kwanza maana ya "SHAROBARO". Sisi wengine bado ni "washamba" wa maneno.

SHAROBARO ni swaga yaani kama KAMATI MWIZI MEEN AMA NATAKA MRIJA BAAB, kama hapo napo hujaelewa nenda shule za slang za Bongo meen!

Hizi shule za slang ya kibongo zinapatikana wapi?

Hebu iweke vizuri kabla sijaenda kulala, maana kuna kitu naona kinafaa kukiweka sawa hapa ktk "slang" yako. Very interesting, maana nahisi naanza kupata picha ya mtu wa namna gani wewe.

Mcheki D-KNOB akwambie juu ya elimu imekuwa biashara tutasomaje, elimu ya mtaani dot.com mnaionaje, nadhani hilo song unalikumbuka na huko ndiko kuliko na shule za swaga za Bongo meen!

Nilichoweza kukipata ktk mtandao ulionipa ni hicho hapo chini. Bado narudi kwako. "SHAROBARO" maana yake nini?

Mtaani.com Server Details

IP address: 67.18.137.153
Server Location: Houston, TX in United States
ISP: THEPLANET.COM INTERNET SERVICES

Mtandao huu unasomeka kuwa umeisha expiry, hivyo washauri wanaomiliki wakaulipie, ni hela kidogo tu.

Mzee unaonekana Mbwiga sana meen! Hilo ni songi la D-Knob na sio website! Nilidhani swaga zake unazinyaka kumbe mzee hujakaa kitaa sasa la kukwambia wahi Loliondo ukamate cup meen kisha utakuwa mkaree! Si umenitachi sio?

Sasa nimeanza kuelewa kuwa nachangia hoja na mtu wa namna gani. Hivi ni wangapi watu wangapi wanasikiliza nyimbo hizo? Hivi ktk hoja muliyotumwa kuileta hapa, mulikuwa na maana ya kutuletea "USHAROBARO" huo? Nadhani ni vizuri kwa kulinda heshima yako iliyobakia kidogo, ujifunze kutokutumiwa. Unatakiwa kuamua UISHI KAMA MWANAMKE AU MWANAUME. Baada ya maamuzi hayo, unafanya vitendo vinavyofanana na maamuzi yako.
Anzisheni thread yenu muelezane maana ya sharobaro.....
 
Tuache suala la FARC, hebu Ben atueleze suala la Belfast na UK yake kwa ujumla, yeye analionaje? Analisemeaje? au anaona ni sawa tu? Kasumba hii ni mbaya sana, na hasa unapoona inafanywa na watu wa aina ya akina Ben. Kuanzia mwanzo mimi nilisema hapa kuna jambo, sio bure hata kidogo. Niliona kabisa kuna "ushabiki mandazi" fulani unaoendelea. Jana nilikaa kwa muda mrefu ktk hoja hii, niliuza maswali yangu mengi, mpaka sasa sijajibiwa, basi hata hili la kujua maana ya "SHAROBARO" nalo tunahitaji kwenda kuagua kwa waganga wa kienyeji?

Swala Belfast na mambo mengine yoote uliyoandika nitakujibu.Shukrani zangu kwa wachangiaji wote.Samahni tangu juzi sijaingia online,nitapata Muda nitachangia,Mawazo yangu ni huru.Kuna watu wameanza kupotosha hii thread,kuna watu hawajaelewa lakini nguvu ya ushabiki inawaweka majaribuni katika kuchangia na kutetea na hata kutuhumu

Mimi sijatumwa na mtu yeyote,hakuna mtu mwenye uwezo wa kunifanyia hayo unayodai mkuu wangu.Kubalini mapungufu,naamini kuna watu wanaofanya kazi foreign affairs hapa,lakini wengi wao wako radhi ku-compromise taaluma zao kwa ushabiki tu.Nitarudi kuchangia!!
 
Back
Top Bottom