Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Mubi, ahsante kwa ushauri wako. Hili wazo ninalo kwa miaka karibu minne sasaa, baada ya kutembelea textile/garment manufacturing industries kule India, Bangladesh na Thailand, lakini hapa Tanzania ni kazi sana kuja na wazo jipya na likakubalika kirahisi kwa kuwa watu wengi, kuanzia wale walioko serikalini na hata wale wa mtaani, wana mawazo hasi sana na hawako ayari kupokea mawazo mapya kirahisi
Ops,...nilitaka kutoa maoni yangu lakini kumbe una conclusion tayari?
Sasa unataka maoni ya nini kama unajua watanganyika hawataki mawazo mapya?
Well,...
Iambie serikali iongeze shule za kata ili kuwe na walimu wengi.
Iongeze magari ya UDA ili makonda waongezeke,...
etc,etc maana hayo ndo mawazo ya "zamani" na wanayo penda watanganyika.