- Thread starter
- #21
Kura yangu 2015 itakwenda chadema haki ya munguu....!!!
bt note do daily remember chama kinachokufanya uish kwa aman bla ya vita wazi?
Kura yangu 2015 itakwenda chadema haki ya munguu....!!!
ndipo muone vijana serikali yenye utajiri na viongozi waliojilimbikizia pesa nyingi uswis. inaumasana watoto wa maskini na wakulima hakuna shule tena
Hata mimi nimepeleka na nimekosa mkopo
Pouwa thank kwa tahalifa mkuu
Bt mwambie chenji zilizobaki wangetupa boom 2 sisi wanyonge
dah! wanatuonea sana. yaan hata boom sa tutaishije? dah bora wangetupa hata boom
Mimi nimepeleka na mkopo sikupata
hawa bodi ni majizi wakubwa tena majambaz ya kalamu sugu!inamaa hyo vyeti vya yatima vilivoambanishwa mwanzo hawakuviona?!kwan pia hakuna wa2 wenye wazaz wote wa2 wasio na uwezo wa kuwasomesha watoto wao?
naomba uwafate watakushughulikia,wazi?..mana katangaza kuwa ambae n yatma na kakoxa mkopo aende watampa mkopo
Sawa mkuu, mimi nipo zanzibar nitaenda ofisini kwao
kwa maana hiyo je kuhusu meals na accomodation hawatoi kabsa au kujilipia
unadhan chadema ndo watafanya kazi vizur?? wakipewa madaraka nao wataanza kujilimbikizia tu,,ni mwendo wa chukua chako mapema,,taifa limeingiliwa tena chadema ndo wachaga haswaaa,,watatukamuajeee
Huyu mkurugenzi atakuwa ana matatizo, kwani wote walipata mkopo ni mayatima na walipeleka vyeti vya vifo? Mbona wapo wenye wazazi wote wawili na ni wadosi na mikopo wamepata??Ametoa jibu la kipuuzi sana.Mkurugenzi akijibu maswali ya watu waliofka kuhoji kwa nini wamekosa mkopo,amewajibu "WALIOPATA WAMEPATA NA WALIOKOSA HAWATAPATA"Cha kuwapa moyo amewaambia wakate rufaa na wasubiri majibu ndani ya 90 days..! Hata hvyo criteria za kupata mkopo KIGEZO KIMOJAWAPO AKASEMA CHETI CHA KIFO KAMA WEWE NI YATIMA, na akasema kuwa kama kuna m2 kanyimwa mkopo na niyatima..apeleke death certificate ili apewe mkopo!..updatedboy!