X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Mwanamke mmoja alivyochoshwa na tabia za mumewe, siku moja akamwambia mumewe...!
Mke: "Laiti ningeolewa na Ibilisi kuliko kuolewa na wewe...!"
Mume: (Uku akimtazama mkewe... kisha akamjibu kwa upooole) "Dini zote duniani hazijaruhusu mwanamke kuolewa na Kakake sasa vipi utaolewa na ibilisi!?".
Mke: "Laiti ningeolewa na Ibilisi kuliko kuolewa na wewe...!"
Mume: (Uku akimtazama mkewe... kisha akamjibu kwa upooole) "Dini zote duniani hazijaruhusu mwanamke kuolewa na Kakake sasa vipi utaolewa na ibilisi!?".