Mimi ninazo degree mbili, nimeajiri watanzania kibao na ninawalipa mwisho wa mwezi,,, lakini siwezi kukifanya kile ambacho Mh JJ Mnyika anafanya bungeni. This guy is genius, mtu kama huyu huwezi kumnunua kwa gharama yoyote. Nyie kaeni na maelimu yenu ya vyeti tu lakini hamna uwezo wa kufanya chochote bila kubebwa. Mnajikomba kwa maCCM kubembeleza mkate uende kinywani but this guy JJ is fight in his own grounds, his destiny is in himself, you you you your destiny is in Nape's handKwahiyo wewe hujibu hoja mpaka uulizwe na Ridhiwani!!!
Hata hivyo umefanya vizuri kusema ukweli kuwa HUNA DEGREE...
soma habari yote.Kumbe ka mkubwa ulikimbia shule, japo unafanya vyema mbele ya macho ya mashabiki wako ila shule muhimu sana.acha maneno mengi jitahidi urudi shule ili uwe mfano wa kweli kwa vijana wa sasa.hilo la kwamba utasoma cdm ikingia madarakani kwetu inamaana kwamba hutasoma tena kwakuwa cdm haitarajiwi kushika dola ktk miaka ya karibuni kwakuwa migawanyiko na mitafaruku yenu haitawaacha salama...
Mnyika nyoosha maneno maelezo marefu kama reli ya kati.
kwa hiyo alipata ngapi?mnyika hana degree - confirmed. maneno mengi yote hayo ya nini.
ila kipeperushi chako cha 2005 pale ubungo ulitudanganya wengi.
pia mnyika hukupata daraja la pili kidato cha sita. acha kuendelea kudanganya mtu wa seminari.
wanasiasa wetu waongooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Hata ungekuwa na elimu ya darasa la saba, maelezo uliyoyatoa hapa yanaonyesha una Masters ya ufahamu na wewe ni kichwa!! Hivyo huyo NAPE na RIZWANI kama vipi wakazamishe vichwa vyao kwenye mchanga kwani ni vilaza wa kutupwa!!. Elimu sio Cheti ni ufahamu na uwezo wa kufumbua mambo wa mtu.namaliza kwa mlinganyo huu 200NAPE + 1000RIZ <= 1MNYIKA!!
Mkuu Koti Jekundu. Ulichokuwa hujui ni kwamba Mnyika alikuwa anangoja kuulizwa na Ridhiwani. Umeona sasa amejibu swali lilelile ambalo wapiga kura wake walikuwa wanamuuliza hajibu lakini leo kaulizwa na mpiga kura wa Halima Mdee, Ridhiwani, kajibu.
Je, bado unabaki na msimamo wako kuwa Myika akijibu hili swali anakuwa hivyo ulivyosema?
Composed, poised, and polished!
Dogo wa Kikwete na Nape sidhani kama wanaweza kuandika kama alivyoandika Mnyika hapa!
Haya Nape na wewe tuwekee matokeo ya elimu yako ya awali yaani Drs. la 7, Form IV, na Form VI hapa jamvini. Tuanzie hapo kwanza.
Vinginevyo tukisema huko vyuo vikuu uliingia kwa favour fulani tutakuwa hatukosei. Mnyika kwa matokeo yake anaweza kwenda chuo kikuu chochote dunani hata baada ya miaka 20 ijayo. Tunaomba grades zako tujiridhishe jinsi ulivyoingia Chuo. Hilo tu kwa sasa mheshimiwa.
Ndio wengine hutumia transcript za muda aliokuwa kwenye chuo hicho,nchi zingine unahamisha credit kwenda kukamilisha unit kwenye chuo utakacho kwenda ishu hapa walisema amefika form six kumbe kwa matakwa yake alifika chuo kikuu cha Dar es salaam na kufukuzwa na wanafunzi wengine Nape na changu doa wake Shonza wajidhihirisha hawana wanalolijua vichwani mwao zaidi ya kuwa kama walioishiwa hojaKumbe hata chuo ambacho mtu kasoma hakumaliza (either disqualified or whatever) kinatambulika????