TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Oct 19, 2012 #1 Leo k.koo maji uhai imekuwa mwendo wa buku kwa chupa moja ya lt 1 kwa ajili ya mabomu ya machozi.
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,163 Oct 19, 2012 #2 dah! Biashara leo ilikua nzuri kabisa, 6000-2600= 3400 safiiiiiiiiiiiii wauza maji wamefaidiiiiiii