swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,251
- 1,467
Ezekiel 4:12 Biblia takatifu,au huo msitari ilikuwa unataka kupotosha kuhusu Nini!Soma Ufunuo 22: 18-19 huenda itakuponya na adhabu siku ya kiama
Ezekiel 4:12 Biblia takatifu,au huo msitari ilikuwa unataka kupotosha kuhusu Nini!Soma Ufunuo 22: 18-19 huenda itakuponya na adhabu siku ya kiama
Unakufuru,nafasi ya Bwana Yesu haichukuliwi na yeyote.Bikira Maria ni mtu wa kawaida tu.Kuna mahali kanisa linakwama kwa kupunguza mafundisho ya imani kwa watoto, nashindwa kuelewa inakuwaje unajiita Mkatoliki na bado hauelewi ukuu wa Mama Bikira Maria katika historia ya Ukombozi, na jukumu alilokabidhiwa na Yesu Kristo pale msalabani na baada ya kufufuka kabla hajapaa.
Unashindwa hata kuelewa kwanini Mama Bikira Maria ndie Sanduku la agano lililoptea pale mlimani, likaja kuonekana kwa ishara mawinguni baada ya kupalizwa?
Bado huyo unamuita ni mwanadamu wa kawaida? Ungesema wewe si Mkatoliki kidogo ningekuelewa, japo kuwa Mkristo tu kunakufanya ufahamu vitu kama hivi.