Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Ni siku chache tangu majambazi yalipofunga mtaa wa kingugi kata ya mbagala wilaya ya Temeke, leo hii asubuhi majambazi kwa mala nyingine wilayani temeke wamemuuwa kwa risasi Daktari wa hosp ya wilaya ya Temeke,
Najiuliza kamanda Misime kulikoni temeke?
Najiuliza kamanda Misime kulikoni temeke?