Na mimi nimeshangaa sana!!Tena afadhali angekuwa kwa "fake ID".Sasa mtu ni "verified User" tena mtu mzima bila sababu unamuita kilaza.Nyie watoto wa siku hivi hamna heshima kabisa.
Andrew unamuita kilaza?
The Pilot. Pilot mzima unamuita kilaza?
Dogo nenda katambike una laana . Kama huna basi kwenu mna laana
Una akili timamu kweli wewe? Unamjuwa Andrew?Naona mkuu umeshindwa kutuma japo ka picha,upo nyuma ya android keyboard kwa hofu,lkn ni bingwa wa kushawishi maandamano huku ukijiita kamanda
Hili tatizo limesababishwa na Yericko "Nyerere"Na mimi nimeshangaa sana!!Tena afadhali angekuwa kwa "fake ID".Sasa mtu ni "verified User" tena mtu mzima bila sababu unamuita kilaza.
Hawa watoto wanatuvunjia sana heshima humu jukwaani.Wengine hawajui tu;kabla hatujaamua kuwa na ndoa rasmi...Hatukuwa rasmi na Mama zao.Amenikwaza mimi pia
Ni first born wa JK Nyerere, Ex soldier wa JWTZ akiwa ni Jet fighter pilot.ana vinasaba na marehemu wetu wa Taifa JK?
Am sure for 100% huwezi kufikia hata robo ya IQ aliyonayo Andrew. I bet.Sidhani kama atakuwa hivyo Mzee IQ yake ni kubwa sasa huyu mbona ni msiba mzito kwa uletaji habari kimtindo huu.
ongea lugha moja basi we kilaza
Watu kama wewe namshauri Max awakabidhi tu Polisi details zenu, huna faida.Ukiona polisi wanahangaikia jambazi, ujue jambazi hilo likiiba haliwakatii kitu kidogo polisi.
Pilot in Command....Ni first born wa JK Nyerere, Ex soldier wa JWTZ akiwa ni Jet fighter pilot.
Nadhani ili usiulize tena huyu ni kaka yao na Makongoro Nyerere na Madaraka Nyerere.
Mpumbavu sana we mtoto, huna adabu wala heshima kwa wazee wako, yaani Andrew Nyerere unamwita kilaza? Mungu akusameheongea lugha moja basi we kilaza
Polisi si malaika kuwa atagundua kila kitu kinachofanyika hata kama ni jirani na eneo walipoJuzi kuna fuko la pesa liliibiwa pale tazara mbela ya polisi kama 12 waliokuwa wanakata bajaji na boda boda
Ana laana huyu dogoMpumbavu sana we mtoto, huna adabu wala heshima kwa wazee wako, yaani Andrew Nyerere unamwita kilaza? Mungu akusamehe
Angalia vizur jamaa ni``verified user``ongea lugha moja basi we kilaza
Tumia muda wako kidogo kusoma kwa makini kila anachoandika andrew, naamini utajisahihisha kwa kiwango flani.ongea lugha moja basi we kilaza
HahahaaaaaaaImeeleweka Andrew hawa wengine wanataka stories ndefu wakasimulie waseme walshuhudia, habari IPO poa
ongea lugha moja basi we kilaza
Ulihisipdidy anadhambipekeyakDuuh, ipo kazi hapa, nmegundua kazi ya uandishi ina wenyewe,
Andrew JF kunamashetani awajui ahsante usikilizewanachokutuhumu awawengine washazoea kudesa mpakavyuoni awaelewi wanapewadegreefambaMajambazi wawili wameuawa na Polisi maeneo ya Mikocheni karibu na Feza sekondari, walitaka kuwaibia Wachina.
View attachment 454231
Kati ya hao majambazi yupo jambazi wa kike na amejisalimisha kwenye mkono wa dola, huyu jambazi ndiye alikuwa dereva wao.
Majambazi wengine bado wanatafutwa.
Taarifa zaidi zinasema askari wamefanya patrol kwa wiki nzima hadi kufanikiwa kuwanasa majambazi hawa.
View attachment 454222
View attachment 454227
View attachment 454228