Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Previously:
Kama Dakika 30 zilizopita, tukio la wizi wa kutumia silaha limetokea maeneo ya Tabata Sanene karibu na Tusiime Sekondari ambapo mfanyabiashara ya M-Pesa alipigwa risasi ya mkono na kuporwa mfuko wa pesa mara baada ya kufunga duka lake.
kiasi cha pesa kilichoporwa hakijafahamika.
Nilibahatika kupiga hiyo picha ambapo mfanyabiashara huyo alikumbilia duka la jirani yake kufuata mwanga wa taa bila shaka ili kujiangalia amejeruhiwa kiasi gani.
majambazi yalitoweka na raia walikua wakikimbia hovyo.
Mtambuzi said:Mwenye taarifa kamili atujuze...................
Kama Dakika 30 zilizopita, tukio la wizi wa kutumia silaha limetokea maeneo ya Tabata Sanene karibu na Tusiime Sekondari ambapo mfanyabiashara ya M-Pesa alipigwa risasi ya mkono na kuporwa mfuko wa pesa mara baada ya kufunga duka lake.
kiasi cha pesa kilichoporwa hakijafahamika.
Nilibahatika kupiga hiyo picha ambapo mfanyabiashara huyo alikumbilia duka la jirani yake kufuata mwanga wa taa bila shaka ili kujiangalia amejeruhiwa kiasi gani.
majambazi yalitoweka na raia walikua wakikimbia hovyo.