Majambazi wasiotumia silaha

anasbo

JF-Expert Member
Sep 2, 2017
4,977
8,993
Madada zangu, waume au wapenzi wenu wanakua wametulia kwenye mapenzi yenu mpaka wanapokutana na watu kama hawa, wanawake kama hawa ndio sababu ya wanaume wengi kupoteza dira kwenye mpangilio wa maisha. hawa ndio chanzo cha matatizo ya ndoa nyingi hapa mjini.

Ila kiuhalisia tusilaumiwe mana unaweza telekeza chochote kabisa kwa hali kama hii


.
 
Hatari sana

Kiukweli wanawake kama hawa ni wakuwakalia mbali, Ndoa nyingi zimeshavunjika kutokana na wao.
Likini mtihani mkubwa ni nafsi zawanaume zinapokutana na kama hawa zinafika kabisa, yani ukimtizama tu moyo unaanza kwisha nguvu.
hawa ni Zaidi ya mashetani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom