Majambazi waendeleza ubabe

naona ujambazi umekithiri sana,hamna solution la hili janga??KOVA where ur?,wananchi wanazidi kuumia huku.
 
Mkuu, labda wanivizie nikiwa nalipa nauli ya daladala ile narudisha chenji mfukoni ndipo wani_tight otheryz imekula kwao.



Na wewe zurula na pesa nyingi tu ukitaka.polisi wapo kwa ajiri yako.
 
naona ujambazi umekithiri sana,hamna solution la hili janga??KOVA where ur?,wananchi wanazidi kuumia huku.

Kova utamuona kwenye tv, kazi yake kutoa matamko na misemo yake isiyokuwa na maana. 'Jeshi la Polisi tumejipanga', 'operesheni kabambe' etc...
 
ujambazi ni issue tata sana. muda mwingine huyo aliyeporwa utakuta ndio kacheza dili na rafiki zake wezi ili wamtandike risasi mguuni halafu wampore mahela halafu badae wagawane. Hali hii wanaitumia wahasibu wakitumwa na makampuni kuchukua hela benk
 
Mi ndo sitowasahau kina kaka jambaz maisha yangu nilipigwa risasi mbili nashkuru moja ilipita mkononi haikunivunja na ingine ilinikosa kabisa na kupiga tyre ya pikipiki mchana kweupee kimara mwisho na polisi walikua mita kama mia na hamsini na wakaja wakachukua pesa na cm zangu na wakannyanganya funguo ya pikpik yangu na kusepa baada ya kusepa nimebaki naugulia maumivu ndo polis wanakuja na kuniuliza upumbavu eti umeibiwa sh ngapi nkawaambia sijui wakat napigwa si mlikua pale nawaona wakanchukua na kunpeleka urafiki nikapewa pf3 na wala sikuitumia nilienda private tu wanaboa sana hawa polisi
 
Mi ndo sitowasahau kina kaka jambaz maisha yangu nilipigwa risasi mbili nashkuru moja ilipita mkononi haikunivunja na ingine ilinikosa kabisa na kupiga tyre ya pikipiki mchana kweupee kimara mwisho na polisi walikua mita kama mia na hamsini na wakaja wakachukua pesa na cm zangu na wakannyanganya funguo ya pikpik yangu na kusepa baada ya kusepa nimebaki naugulia maumivu ndo polis wanakuja na kuniuliza upumbavu eti umeibiwa sh ngapi nkawaambia sijui wakat napigwa si mlikua pale nawaona wakanchukua na kunpeleka urafiki nikapewa pf3 na wala sikuitumia nilienda private tu wanaboa sana hawa polisi


>>Asee pole sana but hilo jibu ulilowapa limenichosha ahahaaaa, na kuna wakati nahisi askari wanapokwidwa na majambazi wananchi wanajisemea moyoni "safi sana!". Maana kipindi na wakati mwingine inachefua sana kwa baadhi ya askari wetu.
 
Saana kaka yaani kama ukivamiwa ukaibiwa wao wakija swali la kwanza wanauliza umeibiwa bei gani so wao wanataka wajue inamaana wako nao ili wasipigane changa katika mgao au maana badala ya kuuliza usalama wako wao wanauliza pesa tu
 
Habari za hv punde zikitokea hapa ubungo pembezoni mwa bank ya NBC ni kwamba majambazi wawili wakiwa na usafiri wa pikipiki wamempiga risasi ya mguuni raia mmoja aliyekuwa kabeba mfuko uliokisiwa na fedha.
Risasi hiyo amepigwa baada ya kukaidi kutotaka kutoa huo mfuko aliokuwa amebeba.

Mpaka hv ninapoleta habari hii vijana wengine wa bodaboda wanawafukuzia kwa nyuma hao majambazi huko walipokimbilia.

Nawasilisha.
hili tatizo ni tata sana.haijulikani nani ni chanzo kikuu cha kutoa taarifa za watu kuwa wanapesa mkononi.

kwanza kabisa naomba niulize swali. inakuwaje mtu unatembea na zaidi ya laki tano kwenye pochi au bahasha?sawa yawezekana hakuna jinsi na ndio unapeleka hela bank.kuna wakatimwingine ni vigumu kuzuia ila ASILIMIA KUBWA ya wanaoporwa hela ni kutokana na mambo ambayo yanahepukika. mfano mtu anatoa hela bank sh 80 MIL anaenda kununua kiwanja au anapokea hela za kuuza kiwanja anaenda kuziweka bank.Nini maana ya kuwepo kwa bank?na huduma tele zinatolewa na bank .mfano kuna huduma ya kuhamisha hela kutoka account moja hadi nyingine ukiwa nyumbani kwako au sehemu yeyote kwa kutumia SIM banking.pili munaweza fanya transaction kwa kwenda kulipania bank tu na mteja wako wa kiwanja.

juzi juzi tu nilikuwa bank moja jina kapuni ,nilishangaa mteja binti mdogo kama miaka 19 akitoa mil 20 na bank teller kumpa mfuko wa kaki huku zile hela kwenye kaki zinajichora vizuri kabisa,yule binti akatokatoka nazo hadi kwenye bajaji na kuweka kwenye hand bag.nilishangaa sana mtu kuhatarisha maisha yake wakati kila siku watu tunaambiwa juu ya kubeba hela kihasara.pia si peke ake wengi walikuja bank wakiwa na mibahasha tu imejaa hela na wengine kutoa hela nyingi.
mwisho kabisa hakuna anaeweza kuhatarisha maisha yake kwaajili yako.polisi sikuhizi si wote wa kuaminika na hata bank tellers si wote wa kuaminika ,kuna uwezekano wanatoa infomation za wateja wanaotoa hela bank,pia SI WOTE WALIOPO BANK NI WATEJA,WENGINE WANATOA TAARIFA KWA MAJAMBAZI HUKU WAKIKUCHUNGUZA MPAKA UNAPOKWENDA .
Kwa upande wa maduka yanayovamiwa ni muhimu kuwa na control yakushare risk na wanaotoa huduma za fedha kama mpesa,tigo pesa ,airtl money na mawakala wa bank ambao wamesambaa kwa wingi sana .lasivyo hawa wataleta matatizo kila siku bila kupata ufumbuzi.
 
Hata hiyo bunduk iliyotumika ni ya policw wamewakodisha tuu kwa hao jamaa
 
Saana kaka yaani kama ukivamiwa ukaibiwa wao wakija swali la kwanza wanauliza umeibiwa bei gani so wao wanataka wajue inamaana wako nao ili wasipigane changa katika mgao au maana badala ya kuuliza usalama wako wao wanauliza pesa tu
Hao mkuu dawa yao kama unaonekana uko vizuri unawaambia huku unaangua kilio cha haja kwamba umeibiwa milioni 50 hata kama umeibiwa laki 5 ili wakamalizane na wenyewe!! Mbinu hii kuna jamaa yetu mmoja aliwahi kuitumia alipovamiwa na majambazi, wakati wanampatia msaada wa kumpeleka hospitali jamaa akawa analia amenyang'anywa milioni 30 kumbe kwenye mfuko kulikuwa na magazeti na shilingi laki 3. Miongoni mwa waliojidai wasamaria kumbe na baadhi ya majambazi yalikuwa yamejichanganya na raia wema, jioni yake risasi zikalia huko milimani, polisi kufuatilia wakakuta matatu yamekufa na li-moja liko hoi na bunduki zikiwa zimezagaa hapo. Miongoni mwa vitu vilivyokamatwa ni pamoja na lile fuko la jamaa yetu na laki 3 zake! Kwa hiyo nina uhakika hao polisi wangeambiwa milioni 50 lazima wangeenda kuuana!!
 
ujambazi ni issue tata sana. muda mwingine huyo aliyeporwa utakuta ndio kacheza dili na rafiki zake wezi ili wamtandike risasi mguuni halafu wampore mahela halafu badae wagawane. Hali hii wanaitumia wahasibu wakitumwa na makampuni kuchukua hela benk
Unaijua risasi au unaongea tu. . . . . . .
 
Hao mkuu dawa yao kama unaonekana uko vizuri unawaambia huku unaangua kilio cha haja kwamba umeibiwa milioni 50 hata kama umeibiwa laki 5 ili wakamalizane na wenyewe!! Mbinu hii kuna jamaa yetu mmoja aliwahi kuitumia alipovamiwa na majambazi, wakati wanampatia msaada wa kumpeleka hospitali jamaa akawa analia amenyang'anywa milioni 30 kumbe kwenye mfuko kulikuwa na magazeti na shilingi laki 3. Miongoni mwa waliojidai wasamaria kumbe na baadhi ya majambazi yalikuwa yamejichanganya na raia wema, jioni yake risasi zikalia huko milimani, polisi kufuatilia wakakuta matatu yamekufa na li-moja liko hoi na bunduki zikiwa zimezagaa hapo. Miongoni mwa vitu vilivyokamatwa ni pamoja na lile fuko la jamaa yetu na laki 3 zake! Kwa hiyo nina uhakika hao polisi wangeambiwa milioni 50 lazima wangeenda kuuana!!


Ha ha haaaaaaaa. . . .
 
Hawa jamaa wamekuja nusu saa baada ya tukio ila kuna mwendesha bodaboda mmoja kakoswa koswa na risasi akiwa anawafukuza kwa nyuma.

Nae kimbelembele tu wenzake wana silaha ye anakwenda kichwakichwa, kwani sinema hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom