Ni habar zilizo tufikia hv punde zinasema majambazi sita yameuawa huko sekenke wilayani iramba katika mapambano makali na jesh la polisi. Majambazi hayo yalikua na silaha za moto ikiwemo smg iliyokutwa na risasi zaidi ya 100 na mabumu 6. Aidha kati ya majambazi hayo watano ni raia wa burundi na m1 ni mtanzania. Majambaz hayo yamenaswa kwenye mtego wa polisi kwa msaada mkubwa wa polis jamii. Source itv brkng newz.
Mkuu ingekuwa wameshikwa na bakora au mapanga tungeuliza kwanini hawakushikwa hai..!!
Lakini watu wameshikwa na SMG zenye risasi na mabomu sita unataka washikwe bila kuuwawa....?
<br />
<br />
siungi mkono watu kuuawa, hivi jeshi letu la polisi linashindwa njia ambazo wanaweza kutumia kuwanasa waarifu bila kuwauwa? Hii kasumba ndio inayofanya jeshi la polisi kuuwa raia hovyo hovyo. Kuuwa majambazi sio sifa bali ni ukosefu wa maarifa na mipango madhubuti ya kupambana na uhalifu. Shame on you mnaotetea polisi kuuwa majambazi.
Mkuu ingekuwa wameshikwa na bakora au mapanga tungeuliza kwanini hawakushikwa hai..!!
Lakini watu wameshikwa na SMG zenye risasi na mabomu sita unataka washikwe bila kuuwawa....?
Ni habar zilizo tufikia hv punde zinasema majambazi sita yameuawa huko sekenke wilayani iramba katika mapambano makali na jesh la polisi. Majambazi hayo yalikua na silaha za moto ikiwemo smg iliyokutwa na risasi zaidi ya 100 na mabumu 6. Aidha kati ya majambazi hayo watano ni raia wa burundi na m1 ni mtanzania. Majambaz hayo yamenaswa kwenye mtego wa polisi kwa msaada mkubwa wa polis jamii. Source itv brkng newz.