Kwenye vita hamna namna ya kuwakamata unaopigana nao. Vinginevyo uwashike mateka. Au una maana kwamba ni rahisi kuwaambia mikono juu na wakatiii?Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....
Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......
Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.
Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Tuondolee mashaka juu ya hili kwa kututhibitishia kwamba hawa waliouwawa walikuwa raia wema ili tupaaze sauti zetu dhidi ya polisi kitaifa na kimataifa!Wanapeleka watu kule na kuwapiga risasi na kuwawekea bunduki na silaha halafu wanajitekenya kuwa tumeua majambazi kibiti. Ndio tatizo la afrima uongo mwingi kwa kuogopa kufukuzwa kazi. Kwani unafukuzwa kazi pasipo hata kuchunguza kosa. Hakuna majambazi ambao tunaambiwa ni waliobobea na wamepata mafunzo nje leo hii wakae pmj. Watu wanapelekwa kibiti wanauwawa then polisi wanasingizia majambazi wa kibiti. Tusubiri muda utasema ndio polisi tanzania
Huu ni unafiki! Ulitaka polisi wafanye nini, usiku porini? Ulitaka wawaamuru SIMAMA MKO CHINI YA ULINZI? Unadhani wangetii sheria bila shuruti? Stop being such a hypocrit! Umesahau majuzi tu waliua polisi with absolute no remorse halafu wewe unasema nooo thats not the way! Well done Siro!Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....
Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......
Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.
Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Ndio maana uliferi shule hata kudefine majina huweziUna uhakika? Basi kama wewe ni wa imani nyingine kajiunge nao ili kuleta balance ya waaminio
Mkuu, kajiunge na [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] mkawatetee. Unaambiwa kulikuwa na majibizano ya risasi wewe unasema polisi Waende kuwakamata! Jambo kama hilo nalo ni gumu kiasi hicho mtu kulielewa?Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....
Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......
Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.
Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Kama una haraka panda ndege. Bongo hakuna express ways kama mbele. Njiani kuna vijiji, mifugo na makazi ya watu kila mahali. Unadhani watadhibiti vipi? Barabara zenyewe sio standard, sharp corners na mashimo kibao, vitu ambavyo EW huwezi vikuta. Acha tochi zifanye kaziImekuwa mwendo wa harusi siku hizi
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Tumeomba mtusaidie njia za kukamata mtu anayekurushia risasi, hamtoi, bali mnatoa pvu tu humu. Unakamata vp watu wenye bunduki 8? Zabafmirisho pm hapa juu umenena,polisi why they cant arrest them na kuwapeleka mahakamani?watu kama kawaida yetu tunafurahia mihemko,je kama polisi wameua raia wema tutathibitisha vipi?kumbukeni wale wa pale sinza kumbe walikuwa wafanyabiashara sio majambazi.
Jinsi walivyo ni kuwapunguza tu kiongozi wao ndio aende mahakamaniHIVI UNATAKA KUELEWESHWA ILI UKISHAELEWA UFANYE NINI? WALINDWE WASIDHURIKE KWA JAMBO JEMA GANI WANALO FANYA HAO WAHALIFU? TAFAKARI ACHA USHABIKI WA KIJINGA!!!!!
Hili nalo neno, ngoja tusubir majibu kwa wanaojuaWametambuaje majina yao na walipambana kwa risasi. Au wakati wanakufa walitaja majina yao? Au waliweka parade kijinini wakawatambua?? Maana hata mtu mwenye maumivu ya risasi hawezi kukupa majina full
Sent using Jamii Forums mobile app
Sentensi yako tu inaonyesha kiwango chako cha elimu/uelewa. Nani amekuambia hata hiyo shule nimeenda? Kwanza acha dharau. Nikikuambia elimu niliyonayo unaweza ukaniabudu