Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
jana waziri aliposema hukumu kuandikwa kwa kiswahili ni ngumu alikosea
Mimi naona bora ziendelee kuwa hivyo hivyo kwa kiingereza
Sitashangaa kama biblia ilitafsiriwa na wazungu wanaojua kiswahili. Tafuta tafsiri za kiingereza zilizofanywa na waswahili, makosa ni mengi sana