WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Katika kipindi cha Utawala wa Salmin Amour, Zanzibar iliwahi kuajiri majaji wa Kinaijeria.Najua pia kuwa Tanzania hupeleka majaji kufanya kazi visiwa vya Shelisheli kwa sababu, kutokana na udogo wa kisiwa na ukaribu wa wananchi, kwa maana karibu kila mtu anahusiana na mwingine, kuajiri washelisheli kutapelekea haki isionekane kutendeka.Kuna uwezekano wa jaji kuhusiana na wenye kesi.
Sasa kwa ishu ya Zanzibar, kilichopelekea kuajiri majaji wa kinaijeria ni nini? Na je utaratibu huu unaendelea?
Mwenye ufahamu mzuri wa hili swala nitaomba atujuze.
Sasa kwa ishu ya Zanzibar, kilichopelekea kuajiri majaji wa kinaijeria ni nini? Na je utaratibu huu unaendelea?
Mwenye ufahamu mzuri wa hili swala nitaomba atujuze.