View attachment 64749
...........
Ndibalema ....uko sahihiKwa mara ya kwanza naona <!-- google_ad_section_start(weight=ignore) -->Boflo<!-- google_ad_section_end --> umepost picha ambayo inaweza kuelimisha.
'mwanaume kidume wa kiafrica' aliyemzalisha yuko wapi?
mama ni mama siku zote...!!! Hivi hawa dot com wa sku hizi wanaotupa watoto chooni kama pedi wanaweza hizi swaga...!!!?
you are going from one extreme to another. mume wa huyu mama yupo wapi? je baba haumii wanae wakiwa ktk mazingira kama hayo, uanaume wake upo wapi?? Uanaume upo kwenye kuprovide familia sio kuzalisha watotomama ni mama siku zote...!!! Hivi hawa dot com wa sku hizi wanaotupa watoto chooni kama pedi wanaweza hizi swaga...!!!?
You have the answer dude!Wasukuma ndio wanawake strong Tz?