Huku kwenye kujiajiri na biashara ndio usiseme, kwa siku unaweza unauza cement mifuko 3. Halafu faida ya mfuko mmoja ni 500, mabati hayatoki nondo hazitoki yaani watu hawajengi sijui wenzangu wa hardware biashara mnaionaje..
Sent using Jamii Forums mobile app
watu hawawezi kujenga kama hawa hela, kikubwa ni mzunguko wa hela kwa wananchi umekuwa mdogo sababu nayoiona mimi ni ujenzi wa hii miradi mikubwa ambayo yote macontractor wake ni wageni, mimi ningeishauri serikali kwenye hii miradi ingehakikisha marighafi zote zinatoka ndani lakini pia hizi kampuni zingekuwa na joint venture na kampuni za ndani hela nyingi zingebaki kwenye mzunguko hapa nchini. kingine kumfanyisha mtu kazi miaka 6 bila kumpandisha daraja ni uonevu na kuumiza uchumi. majukumu mtu aliyonayo mwaka wa kwanza wa ajira siyo hayo aliyonayo baada ya miaka 6, familia inaongezeka pamoja na mahitaji yake pia
Sent from my iPhone using JamiiForums