Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,882
- 2,762
Sijajua kama kuna topic kama hii, ila ukweli ndo huo kuwa kuna tabaka kubwa sana la vijana HAWAJITAMBUI!
Wana upeo mdogo hadi inatia aibu. Wengi wamefika 4m4 na ndo hivyo. Wanachojua ni ngono, burudani na starehe. Tatizo ni wao au walimu au wazazi?
Naomba hili lijadiliwe
Wana upeo mdogo hadi inatia aibu. Wengi wamefika 4m4 na ndo hivyo. Wanachojua ni ngono, burudani na starehe. Tatizo ni wao au walimu au wazazi?
Naomba hili lijadiliwe