The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Hey!
Maisha kwenye jiji lenu hilo ni tabu tupu, iwe jua au mvua; na kipindi cha mvua ndio balaa tupu.
Hata ukijifanya unaishi maeneo ya posh areas lazima ukutane na mabwawa hayo haliyojaa huko barabarani.
Hivi nyie watu wa Dar mnawezaje kuishi maeneo kama haya?
Maisha kwenye jiji lenu hilo ni tabu tupu, iwe jua au mvua; na kipindi cha mvua ndio balaa tupu.
Hata ukijifanya unaishi maeneo ya posh areas lazima ukutane na mabwawa hayo haliyojaa huko barabarani.
Hivi nyie watu wa Dar mnawezaje kuishi maeneo kama haya?