Acha Dhambi
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 145
- 41
nilifuatilia kauli ya Maige kumsimamisha mkurugenzi wanyama pori lakini kinachonishangaza ni tarehe ya kusimamisha alisema nanukuu 'leo tarehe 18 mwenzi 11' mwisho wa kunukuu wabunge hawajaliona hili? Au slip of the tongue? Waliofuatilia nisaidieni