Anaclet Haule
New Member
- Sep 28, 2012
- 2
- 0
UTAMTAMBUAJE MKEO AU MUMEO KAMA ANAKUPENDA AU ANA UPENDO WA DHATI? Haya tutoe vigezo basi! Kupitia JF Mtandao ulio bora.
Hii kipima joto ilifaa iwe multiple choice.
Ila ukiona roho inakudunda kila ukimuwaza ama kumuona ujue ndo huyohuyo.
he he he, basi mie inadundaje jamani.
Nitakutafuta kwa ushauri wa kiganga.
mfuate huyo anaeidundisha. Kama mie ndo nasababisha roho yako idunde, andika na urithi kabisa. Manake hapa ni maumivu, torture na mwisho nakurudisha kwa muumba wako akakufinyange upya urudi pet dog.
UTAMTAMBUAJE MKEO AU MUMEO KAMA ANAKUPENDA AU ANA UPENDO WA DHATI? Haya tutoe vigezo basi! Kupitia JF Mtandao ulio bora.
lSiyo yule, akiwa na ny*ge basi ndo utaitwa majina yoote hadi ya urithi! Mweh
Huyu ndio wa ukweli hayo mengine ukiyoeleza ni mbwembwe tu..na ndo maana likaitwa tendo la ndoa!
Hayo mengine wala sio matendo ya ndoa!!
lool mkuu umemaliza! Aya bana. Ila akishatosheka ata awe wa halali..asiweke uso wa mbuzi,tabasam kila akiwa na hamu. Hayo mengine si ya ndoa ila mleta uzi kasema ya kujua either anakupenda au. .so tendo la ndoa Si Tu pekee lakufanya ujue anakupenda,tho nikibwagizo tuu!
my pacha ah tutake radhi banaNgono ina play big part kwenye ndoa aisee
Ndo maana hapa utaona kila ukicha mara mume wangu hivi..mke wangu vile..
Kwa hiyo kama unampa hadi anakutamkia majina ya babu zake basi jua anakupenda huyo...