Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

Wakati Tz inavunja uhusiano na Israel, majengo ya hospital za Bugando Mza na KCMC Moshi yalikuwa yanajengwa, jinsi walivyoyaacha yamekaa hivyo bila kumaliziwa kwa miaka zaidi ya 30...!!!
 
Kwani ni mataifa yote duniani yana ubalozi hapa TZ? Ulishawahi kujiuliza watanzania wanakwenda Israeli wanapata wapi viza? Je TZ ina balozi katika mataifa mangapi duniani?. Balozi zinagharama zake, hivyo nchi kabla ya kufungua balozi lazima ziangalie manufaa yake kwanza.

Nafikiri ni bora kuvunja uhusiano na nchi zingine zote na siyo ISRAEL, ungejiuliza kwanini Nchi kama Japan, America, Germany,Frannce,England na nchi nyingi zilizoendelea hazitaki kuvunja uhusiano na Israel na haziwezi utagundua Tanzania tuna tatizo ambalo ni Mungu mwenyewe anayeweza kutuondolea. Nchi zote zenye uhusiano na Israel zina baraka za Mungu, ona Kenya karibia kila kitu inategemea Tz lakini wako juu kutushinda mara mia. Mungualisema atakayeibariki Israel atabarikiwa na atakayeilaani atalaaniwa, tusijiulize hivi vituko vyote Tz vinatokana na nini. Mambo yote Israel jamani
 
Palestine ilikuwa taifa long b4 wazungu hawajaitambua taifa la Israel ambalo halikuwepo, limefanya kutengenezwa tu.

Wewe hujui Historia kabisa Israel ndilo Taifa la kwanza kutambilika Duniani, walitawanywa miaka 70 baada ya Kristo nakwa makosa waliyomkosea Mungu akawaadhibu, kwani hujui Palestina ni nani? Ni Philistian Wafilisti, na siyo Waarabu, waarabu wanatumia Wapalestina kwa maslahi yao binafsi ya vurugu kwa sababu ya chuki yao kwa Israel but Wapalestina siyo waarabu: nao wamekaliwa tu kwa Nguvu na waarabu kama walivyokalia Sudan
 
Kwani sisi tunawafwata waweke ubalozi wao huku....wao ndo wawe na interest kuja huku.....na ni sisi tunawaruhusu au kuwakatalia na sio kuwa palestina wapo ndo maana wao hawawezi kuja,kwani wanaogopa palestina hivyo,mbona washirika wao wakubwa marekani wapo...?
They mind their bussiness we mind ours.

Watanzania wametaka mara nyingi wakinyimwa, Israel haitakiwa maana nchi imekaa zaidi kidini hii. Huoni watu wanaandamana sababu ya Libya lakini hawaandamani sababu ya Dowans maana ni ya mwarabu: hujanisoma bado? Hii nchi ina watu na mambo ya ajabu sana sijui nani katuloga jamani!!
 
Pole sana umepewa majibu laini sana ila ni kwamba kipindi fulani wakati wa utawala wa nyerere israel ilishambulia wapalestina sana na kuua watu wengi, sasa kwa vile nyerere alikua hapendi ukandamizani kama unaofanywa na marekani huko libya, alivunja uhusiano na israel kama inshara ya kupinga vitendo vyao dhidi ya wapalestina! Kabla ya hapo uhusiano ulikua safi sana, wao ndio waliojenga majengo ya maana ya zamani hapa dar es salaam kama kitega uchumi, jengo la ushirika, chuo kikuu cha dar es salaam na hospitali ya bugando mwanza!, sina uhakika na muhimbili ila nadhani ndio wenyewe! na ubalozi wao ulikua pale ubalozi wa marekani uliolipuliwa na magaidi ulipo! Shughuli zao za kijasusi kwa tanzania walitumia ubalozi wa marekani!

Waumini wa biblia wanasema tanzania ina laana kwani imeandikwa atakaemlaani israel amelaaniwa! Karibu sana

Umenena!! Laana ipo. Hujiuliza Tanzanite itoke India inawezekana? Haya uwanja wa ndege Holili , ofisi nyingi za utalii unaokuja Tz ziko Kenya, Kilimanjaro iko Kenya na tunanyamaza tu, Kenya wanatupiga bao tunaangalia tu halafu tuseme hatuna laana?
 
Serikali ya Nyerere ilivunja uhusiano na Israel mwaka 1967 kwa sababu Israel iliikalia Sinai Peninsula baada ya Six Day War.
Nasikia kabla ya hapo Israel walikuwa wametusaidia kwenye ujenzi wa majengo kadhaa likiwemo jengo la makao makuu ya Usalama wa Taifa to name the few.
 
atakae walaani atalaaniwa, hiyo inawezekana.
Coz mpaka sasa hatuwezi kutengeneza japo wembe au sindano na akili tunazo vyuo vipo mainjinia wapo.
Haya bado sisi ni maskini PIKIPIKI TUNAFANYA GARI LA KUBEBA WAGONJWA juzi nikiwa geto naangalia animal rescue chanel ya Discover yaani ambulance nzuri ndo inabeba mbwa kuipeleka hospital ikatibiwe, Hiyo si laana.
Zahabu tele lkn maisha ya geita duni kweli, vijana wa kitanzania wanaishia kuendesha mapikapiki eti ndo ajira, migodini unakuta wa kenya na waghana
 
Sababu tanzania sera zetu zimekaa kisiasa zaidi . Lakini nadhani israel ndo walitususia baada ya kutambua taifa la palestine. Sasa Obama anayetaka two state solution watamsusia.?

Ilikuwa rahisi kuelewa foreign policy ya Nyerere lakini waliofuta na mpaka sasa hawana jibu. wanabadilisha seraza uchumi,kilimo, madini lakini wanasema sera za mabo ya nje ni zile zile. teh teh teh. kichekesho.
 
mie najiulizaga sipati jibu, naonaga bendera za Israel zimejaa tele hapa nchini hasa makanisa ya kilokole!!!
 
pole sana umepewa majibu laini sana ila ni kwamba kipindi fulani wakati wa utawala wa nyerere israel ilishambulia wapalestina sana na kuua watu wengi, sasa kwa vile nyerere alikua hapendi ukandamizani kama unaofanywa na marekani huko libya, alivunja uhusiano na israel kama inshara ya kupinga vitendo vyao dhidi ya wapalestina! Kabla ya hapo uhusiano ulikua safi sana, wao ndio waliojenga majengo ya maana ya zamani hapa dar es salaam kama kitega uchumi, jengo la ushirika, chuo kikuu cha dar es salaam na hospitali ya bugando mwanza!, sina uhakika na muhimbili ila nadhani ndio wenyewe! Na ubalozi wao ulikua pale ubalozi wa marekani uliolipuliwa na magaidi ulipo! Shughuli zao za kijasusi kwa tanzania walitumia ubalozi wa marekani!

Waumini wa biblia wanasema tanzania ina laana kwani imeandikwa atakaemlaani israel amelaaniwa! Karibu sana

you are right!
 
Pole sana umepewa majibu laini sana ila ni kwamba kipindi fulani wakati wa utawala wa nyerere israel ilishambulia wapalestina sana na kuua watu wengi, sasa kwa vile nyerere alikua hapendi ukandamizani kama unaofanywa na marekani huko libya, alivunja uhusiano na israel kama inshara ya kupinga vitendo vyao dhidi ya wapalestina! Kabla ya hapo uhusiano ulikua safi
sana, wao ndio waliojenga majengo ya maana ya zamani
hapa dar es salaam kama kitega uchumi, jengo la ushirika, chuo kikuu cha dar es salaam na hospitali ya bugando
mwanza!, sina uhakika na muhimbili ila nadhani ndio
wenyewe! na ubalozi wao ulikua pale ubalozi wa marekani
uliolipuliwa na magaidi ulipo! Shughuli zao za kijasusi kwa
tanzania walitumia ubalozi wa marekani!
Waumini wa biblia wanasema tanzania ina laana kwani imeandikwa atakaemlaani israel amelaaniwa! Karibu sana
Mkuu tulivunja uhusiano na Israel baada ya vita ya siku Sita kwa sababu Israel ilichukua Sinai peninsula na kuikalia kimabavu. Kumbuka kipindi icho Misri ilikuwa inatoa misaada mingi kwenye ukombozi wa nchi za afrika, katika kuonyesha umoja na mshikamano serikali ikavunja diplomatic relations kulaani icho kitendo.
 
Serikali ya Nyerere ilivunja uhusiano na Israel mwaka 1967 kwa sababu Israel iliikalia Sinai Peninsula baada ya Six Day War.
Nasikia kabla ya hapo Israel walikuwa wametusaidia kwenye ujenzi wa majengo kadhaa likiwemo jengo la makao makuu ya Usalama wa Taifa to name the few.

Hata JKT nilisikia wao ndio walishiriki kulianzisha
 
Wakati Tz inavunja uhusiano na Israel, majengo ya hospital za Bugando Mza na KCMC Moshi yalikuwa yanajengwa, jinsi walivyoyaacha yamekaa hivyo bila kumaliziwa kwa miaka zaidi ya 30...!!!

Kilimanjaro Hotel ilishindikana kufanyiwa ukarabati kwani jamaa walichapa lapa na ramari zote,mpaka leo kempinski jengo wamaliunga unga tu katika marekebisho yao.
 
Pole sana umepewa majibu laini sana ila ni kwamba kipindi fulani wakati wa utawala wa nyerere israel ilishambulia wapalestina sana na kuua watu wengi, sasa kwa vile nyerere alikua hapendi ukandamizani kama unaofanywa na marekani huko libya, alivunja uhusiano na israel kama inshara ya kupinga vitendo vyao dhidi ya wapalestina! Kabla ya hapo uhusiano ulikua safi sana, wao ndio waliojenga majengo ya maana ya zamani hapa dar es salaam kama kitega uchumi, jengo la ushirika, chuo kikuu cha dar es salaam na hospitali ya bugando mwanza!, sina uhakika na muhimbili ila nadhani ndio wenyewe! na ubalozi wao ulikua pale ubalozi wa marekani uliolipuliwa na magaidi ulipo! Shughuli zao za kijasusi kwa tanzania walitumia ubalozi wa marekani!

Waumini wa biblia wanasema tanzania ina laana kwani imeandikwa atakaemlaani israel amelaaniwa! Karibu sana

mbona hiyo laana ipo dhahiri, ona nchi inakoelekea na viongozi tulionao utafirikiri shule hakuna kwenye vichwa vile na utajiri wote tulionao. hiyo ndio kazi mtu au taifa lililolaanika.
 
Back
Top Bottom