Unavyomchimba unataka akitoka hapa atumiwe msg "nimeona ujumbe wako mjanja wewe ila Mungu atanilipia " hahahahhaha mana watu wanavyojua kumsakizia Mungu hataree
Haaa anasemaje sasa mwenye mume jamani... ila umekua honest
Aaaah unataka mwanaume wako peke yako?? Mtengeneze mwenyewe
Umeona ee, maana tunayaona huku mtaani
Hahahaaa😂😂😂😂😂😂 Umejua kunichekesha!
...kuna wadada wamewekeza kwa waume za watu, huwaambii kitu...
hapo umewapigia mbuzi gitaa tu..!
Labda bi.mkubwa nae ana kiserengeti boy chake anaona poa tu we nenda na aunty suzzy kikazi me niache na house boy kwa raha zetu! ndoa hizi zina mambo
Hahaaa mnafanya kitu moyo unataka
Hahahaaa naona kishachoka, siku hizi anafanya yake tu. Mwanzo alinichokoza sana sema mi ndo muda wa kujibu jibu mtu huwa sina nina kiburi na kisirani cha asili.
Siku hizi kamrudia Mungu, kuna kipindi aliomba aongezewe dola Elfu tatu ili aende Nigeria kwa TB Joshua.
#maombioyeeeeeeeeee
Wanapatikana wapi na mie nikatafute?
Hahahaaaa kweli tena maranyingine bora kutumika kifaida na mme wa mtu kuliko kutumika kihasara na singo boy
Ladies always date with a married man juc because, ladies love beautiful and expensive things which their boys cannot afford them. Like it or not... This cannot stop to ladies ever in case they will continue liking luxurious an' posh life!
Ila nna shoga angu..mume wa mtu alianza kulala sikumojamoja..ikaja wiki..now miez yuko kwake..alimpangia chumba sasa kampangia bonge jumba kimara .na kaz kamtafutia na sasa a
Nawewe kama ni mme wa mtu nakuhitaji
Darln nimejitahidi kuongea frankly kadri nilivyoweza. Binafsi huwa sina cha kupoteza kwasababu mwanaume kwangu ni emergency.
Inawezekana alichowahi kukifanya aliyeitwa babaangu ndicho kinachonitafuna hadi keshokutwa. Japo kwa sasa nahisi kufurahia mahusiano.
Bado nina tatizo na wanaume ndio maana huwa nawaambia kabisa sana jitahidini kutulia kwa wake zenu, wanaatjiri sana watoto wao, maana kuna manyang'au yakiwadaka nje huwa wanapoteza vitu vingi sana.
Mwanaume haibiwi kwa kuwa sote tunajua wanaume hawabakwi kwa hiyo ni wao ndio ambao huwa wanaamua kuibiwa![/QUOT
Nimesoma post zako humu, kwa dhati kabisa nakupongeza kwa kuwa wazi! Kwa dhati pia nakupa pole kwa sababu umekuwa mhanga wa mazingira! Siwezi kuthubutu kukulaumu japo ni kweli kuwa unachoendelea nacho si sahihi.
Ila ninachoweza kukushauri ni kuwa angalia uwezekano wa kutengeneza maisha yako. Unasema kuwa una furaha, hiyo ni dalili ya kwanza ya tatizo lako. Huwezi kuwa na furaha na amani katika hali uliyonayo hata kama ukionekana kuwa una kila kitu na moyo wako ni shahidi katika hili. Unasema una furaha kama njia ya Ku suppress hisia kuwa kuna watu hawana tatizo kama lako, hivyo unataka uonekane kuwa uko sawa tu na wengine wakati siyo! Ndio maana unasema kuwa hata mke wake hakuzidi kitu! Hapana , anakuzidi yeye anakula kwa amani iliyo haki yake, wakati wewe unapokonya haki ya mwingine! Dhamiri yako lazima itakusuta!
Ushauri wangu kwako, you are still young! Mwambie Huyo mchepuko wako , siwezi kuendelea kuiumiza dhamiri yangu kwa kuishi na mume wa MTU! Lawama zote ni za huyo bwana lakini msamehe!
Mwombe Mungu akusamehe na akuokoe! Anza maisha mapya, vinginevyo kuna siku Mungu atasikia kilio cha huyo mama mwenye mume, huwezi jua Mungu atafanyaje? Afadhali uamue mapema wakati bado kijana, Mungu atakupa mume maana ni haki yako, mwamini Mungu!
Ha ha haaa lazma ujisikie vibaya hasa ukigundua mwanaume mwenyewe ndo kashachanganyikia na kusahau familia..jamani wadada tuwe na huruma japo kidogo kuiba tuibe ila sometym tuwe tunawaboost waheshim wake zao hata kwa maigizo