Mahusiano na mawasiliano

nyieeee ukidate na hawa wenzetu wa rangi tofauti ambaye ana jazi zake rasmi tu anafanya mahali utalia machozi wako very strict na muda , kama nikupiga hupiga once per day akikuaga ni byee baby i will call you tomorrow if i wont be too busy, akiwa ametoka kazin kachoka sana hakupigii aisee, yaan style yetu yakujaliana kwa sms kila saa sahau, zikipita siku mbili hajakutafuta roho inakupasuka unaumia akikutafuta yuko serious i was so busy working baby i miss you a lot ewwwhhh jaman hawa watu mahaba niue utayapata kwa dakik chache tu jaman akiwepo

sisi waafrica kila kitu chetu ni tofauti aisee nlipataga shida sana mmmmh
 
nyieeee ukidate na hawa wenzetu wa rangi tofauti ambaye ana jazi zake rasmi tu anafanya mahali utalia machozi wako very strict na muda , kama nikupiga hupiga once per day akikuaga ni byee baby i will call you tomorrow if i wont be too busy, akiwa ametoka kazin kachoka sana hakupigii aisee, yaan style yetu yakujaliana kwa sms kila saa sahau, zikipita siku mbili hajakutafuta roho inakupasuka unaumia akikutafuta yuko serious i was so busy working baby i miss you a lot ewwwhhh jaman hawa watu mahaba niue utayapata kwa dakik chache tu jaman akiwepo

sisi waafrica kila kitu chetu ni tofauti aisee nlipataga shida sana mmmmh

Huyo ni wako!
Wengine wako tofauti mbona?
 
mi huwa nampigia kila baada ya masaa 6 that's 4 time per day,

na nimeweka automatic message sending
:kumjulia hali ameamkaje,
:kumtakia mchana mwema,
:kumtakia jioni njema,
:na kumtakia usiku mwema.
 
Hivi mnawezaje kupitisha siku mbili hamjawasiliana halafu mnadai kua ni wachumba? Unaanzaje kulala wakati hujui mchumba wako ameshindaje? Mawasiliano ni kitu cha msingi sana halafu ukitaka kuaminika kwa mchumba wako wa kike yaani ni bora upige simu kwa sana kwasababu wanawake wanapenda sana ku tekiwa care na visimu vya hapa na pale. Ni hilo tuu usiku wa leo

Mnanso katika ubora wake, kamateka mamtoto.... Ujenge mahusiano ya watu
 
Simu lazma tupigiane tu hata kama hutaki na nikiona unaanza kunipumzikia tu(nakupigia mimi tu we hujiongezi kupiga),nakunyoosha hata week nzima huoni text yangu wala missed call.Day 3 utaanza kilio mpk zikitimia 7 umenyooka ndio sasa nakupa darasa tuna refresh upya!
 
nyieeee ukidate na hawa wenzetu wa rangi tofauti ambaye ana jazi zake rasmi tu anafanya mahali utalia machozi wako very strict na muda , kama nikupiga hupiga once per day akikuaga ni byee baby i will call you tomorrow if i wont be too busy, akiwa ametoka kazin kachoka sana hakupigii aisee, yaan style yetu yakujaliana kwa sms kila saa sahau, zikipita siku mbili hajakutafuta roho inakupasuka unaumia akikutafuta yuko serious i was so busy working baby i miss you a lot ewwwhhh jaman hawa watu mahaba niue utayapata kwa dakik chache tu jaman akiwepo

sisi waafrica kila kitu chetu ni tofauti aisee nlipataga shida sana mmmmh

Sounds like someone i know lol.
Ila inafika mahali unazoea tu nakujikuta unakua kama yeye.
It hurt though
 
Kwangu ni kero kama am not into you, ila kama nakupenda napenda mnooooo.

Wakati mwingine unakua unampenda.......lakini simu kila saa kila saa......kwa kweli mimi inanipotezea mood......tena hasa pale ninapokua nafukuzia moto........inanikata stim.......sipendi......
 
Wakati mwingine unakua unampenda.......lakini simu kila saa kila saa......kwa kweli mimi inanipotezea mood......tena hasa pale ninapokua nafukuzia moto........inanikata stim.......sipendi......

Not kila saa simu, ila ile unapitisha siku haujamtafuta mtu kabisaaa alafu unasema unampenda kweli??
 
Kupitisha siku hapana........hiyo ni too much......ila kwa mtu wako anajua muda sahihi.......

Na hicho ndicho nilichokuwa naongelea, na ukishaona tu mtu anasuasua kwenye suala zima la mawasiliano basi ujue hamna kitu hapo, unakinga upepo tu. Eti mtu 2,3,4 days usipoanza kumtafuta wewe basi siku zinapita tuuuuuu!! Mfyuuuu!

Cc Mentor
 
Last edited by a moderator:
Mi ukijifanya busy na mi ndo ntakua busy Mara miaaaaaa, ntakunyoosha mpaka ujuteeeee
 
Back
Top Bottom