Hivi mnawezaje kupitisha siku mbili hamjawasiliana halafu mnadai kua ni wachumba? Unaanzaje kulala wakati hujui mchumba wako ameshindaje? Mawasiliano ni kitu cha msingi sana halafu ukitaka kuaminika kwa mchumba wako wa kike yaani ni bora upige simu kwa sana kwasababu wanawake wanapenda sana ku tekiwa care na visimu vya hapa na pale. Ni hilo tuu usiku wa leo