Ndo maana nimeleta kwenu nilichokisikia, hata mimi niliposikia hvyo nikajiuliza hv kumbe hii kada ndo inaongoza kwa uzinzi. Lakini sikupata jibu ndo maana nimekuja kwenu nipate uhakika.
Sio kada hii tu, wafanyakazi wa mahotelini ukisikia mambo yao kwa zamu za usiku huwezi tamani kuoa kada hiyo.