Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
nimekuwa sielewi kabisa ninapoona viti vipo tupu bungeni huwa najiuliza ni kwamba viti vimekuwa vingi sana? au wabunge hawahudhurii?
kikao cha kwanza cha mkutano huwa wanajaa halafu ghafla hupungua hadi kufikia ndogo kiasi cha kuona viti vitupu, jioni ndio kabisa sasa huwa wanaamua tu kutokwenda, wanakuwa na majukumu mengine au ni nini? na kama huwa watoro nasi tunalichekeaje jambo kama hili? kama wamekwenda bungeni kwa ajili ya kutumikia nchi iweje asikae bungeni kusikiliza mambo mbalimbali na kushiriki kikamilifu.
na kama wanatumwa kwa ninin uwe muda wa kukaa bungeni watumwe muda mwingine. hawa wabunge wapo makini kweli au ni hiari kuingia ama kutoingia bungeni.
kikao cha kwanza cha mkutano huwa wanajaa halafu ghafla hupungua hadi kufikia ndogo kiasi cha kuona viti vitupu, jioni ndio kabisa sasa huwa wanaamua tu kutokwenda, wanakuwa na majukumu mengine au ni nini? na kama huwa watoro nasi tunalichekeaje jambo kama hili? kama wamekwenda bungeni kwa ajili ya kutumikia nchi iweje asikae bungeni kusikiliza mambo mbalimbali na kushiriki kikamilifu.
na kama wanatumwa kwa ninin uwe muda wa kukaa bungeni watumwe muda mwingine. hawa wabunge wapo makini kweli au ni hiari kuingia ama kutoingia bungeni.