Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
SWALI: Ruge mutahaba ni nani?
RUGE: Nimezaliwa Brooklyn New York Marekani mwaka 1970, Primary School nimesoma Arusha School standard 1 hadi 6, kisha nikahamia Mlimani Primary School maeneo ya Chuo Kikuu Dar es Salaam na ndipo nilipomaliza darasa la saba. Kisha nikasoma Forodhani Secondary School form 1 4, baadae Pugu High School 5 na 6. baada ya hapo nikarudi Marekani ambako nikaenda kusoma San Jose University California ambako nikachukua BA in Marketing na pia nikawa nakachukua BA in Finance, kozi zote nilisoma ndani ya miaka 5, kind of 2 courses at the same time. Baada ya hapo nikarudi tena Tanzania.
SWALI: Nini kilichotokea hadi ukajikuta uko cloudz FM?
RUGE: Wakati nipo Marekani, Joseph Kusaga alikuwa na disco, Clouds Disco, mimi nikawa supplier wake wa vifaa mbalimbali vya music, then hapo tuka-build good friendship. Sasa, niliporudi Tanzania baada ya kumaliza masomo yangu, Joseph Kusaga akanishawishi sana nibaki kutokana na opportunity zilizokuwepo za kuanzisha Radio na kuipeleka katika level nyingine kabisa, ndipo nilipojikuta nipo Clouds Entertainment.
SWALI: Tuambie kuhusu THT?
RUGE: Kama Clouds Entertainment tuliamua kuanzisha kampuni ya management ya wasanii ambayo tuliita Smooth Vibes ambayo ndiyo kampuni iliyowatoa wanamuziki kama Lady Jay Dee, Ray C na wengineo. Unajua utakuta kati ya wasanii watano, only mmoja au wawili wana-survive na suddenly utakuta msanii alikuwepo then kapotea. Hii inatokana na kutokuwa na foundation nzuri. Hivyo nikaona ni bora nianzishe House of Talents ambayo sasa kupitia hiyo, tukawa tunawafundisha wasanii misingi ya muziki, kumfundisha msanii how to Manage Industry, Vocal Coaching, Music Business, Music Instrumentation, Dance Classes na kadhalika. Nikagundua kuwa unakuta msanii anaenda kwenye show lakini performance inakuwa mbovu na pia ili msanii aweze ku-last longer kwenye game anatakiwa ajue dancing. Ndio maana THT tukawa na dance classes. THT imewatoa wasanii wengi kamaMaunda Zorro, Mwasiti, Marlaw, Barnaba na wengineo. THT hadi sasa ina miaka minne.
SWALI: Ukiwa kama mmoja wa wadau wakubwa wa muziki hapa nchini, unadhani muziki wa Tanzania una mwelekeo gani?
RUGE: Ukichanganya na malengo ya THT, mwelekeo wetu ni mzuri. Sasa hivi wasanii wameanza kutulia, hawakurupuki kutoa nyimbo, wana-take time kujifunza mambo mengi. Tatizo kubwa lililopo sasa hivi ni upande wa mauzo.
SWALI: Je, umeshawahi kufikiria kufanya kazi nje ya Tanzania?
RUGE: Kwa ajili ya experience na kuangalia Industry inafanyaje kazi nchi nyingine, yeah. But kimsingi kwa upande wa maisha sifikirii kabisa kuondoka Tanzania.
SWALI: Profesheni yako ni nini?
RUGE: I cut across everything! Kifupi just call me mjasiriamali.
SWALI: Ukipewa nafasi ya kuongea na watanzania wote kwa ujumla, je una ujumbe gani ungewapatia?
RUGE: Wanalalamika sana as if wao ndio taifa lililolaaniwa kuliko yote. Ukiangalia hakuna taifa lenye freedom na nafasi ya kupata support kama Tanzania kwa sababu ya amani, abundance of resources, always, theres an opportunity ya kila kitu. Tatizo tunaridhika sana, sasa hebu angalia Distributors wa muziki ni wawili tu. Tumeridhika mapema sana, tuache kuridhika.
SWALI: Umechangia katika mafanikio ya watu wangapi hadi sasa? Wataje?
RUGE: Indirectly, nimechangia mafanikio ya watu wote kwenye sector yangu.
SWALI: Unadhani uliyoyafanya hadi sasa yanatosha? Kamahapana, je ungependa upatiwe support ya aina gani ili ufanikishe kufanya yote unayoyafikiria?
RUGE: Hapana hayatoshi. Nafikiri, support ambayo ningepewa ni kueleweka. Mimi sio mwanasiasa, nashughulika na entertainment. Entertainment is the third of 5, regardless uchumi uyumbe au usiyumbe entertainment na sala hazitabadilika, zitaendelea kuwepo siku zote kwa kuwa zote ni spiritual. Support ni kueleweka kwa hiki ninachokifanya.
SWALI: Ungepewa nafasi ya kuchagua mtu mmoja maarufu unayefikiri unaweza kufanya naye kazi hasa katika masuala ya kijamii, ungemchagua nani?
RUGE: I have people ninaowa-admire sana, people like January Makamba, hes young, exposed, he understands the needs, in terms of the government he supports a lot. Another person is Mohammed Dewji.
SWALI: Unamzungumziaje Mohammed Dewji?
RUGE: Amefanya jambo muhimu kuamua ku-invest in long-term kwenye sports. Ukiangalia alivyofanya kwa vijana wa mbagala ambao sasa ni Africa Lyon. Pia namsifia kwa vitu anavyofanya kwa jimbo lake la Singida mjini. Amekuwa na direct impact kwa watu aliowasaidia. He is a technical person, ni msomi na vitu anavyofanya vingi vinatokana na taaluma zaidi kuliko maamuzi ya kisiasa tu.
SWALI: Kama una neno lolote la mwisho kwa vijana wa kitanzania?
RUGE: Ni muda wa vijana sasa kubadilika kwa kuwa asilimia 60 ya watanzania ni vijana, its the same ratio uki-compare na nchi nyingine zilizoendelea. Dunia imebadilika sasa na sisi tubadilike.
Mo blog inamtakia Ruge kila la kheri katika mafanikio na mipango yake ya maendeleo katika maisha.
My Take
Nampongeza sana Ruge kwa juhudi anazozifanya katika kuwasaidia Vijana kukuza na kuendeleza vijana wenye vipaji kupitia taasisi yake ya Nyumba ya Vipaji(THT).Pia nimpongeze kwa bidii na juhudi zake katika kuianzisha na kuiendeleza Clouds FM Radio na sasa Clouds Television.Hongera sana Ruge,hakika u mfano wa kuigwa(kwa ujasiriamali wako) na vijana wengi nchini
RUGE: Nimezaliwa Brooklyn New York Marekani mwaka 1970, Primary School nimesoma Arusha School standard 1 hadi 6, kisha nikahamia Mlimani Primary School maeneo ya Chuo Kikuu Dar es Salaam na ndipo nilipomaliza darasa la saba. Kisha nikasoma Forodhani Secondary School form 1 4, baadae Pugu High School 5 na 6. baada ya hapo nikarudi Marekani ambako nikaenda kusoma San Jose University California ambako nikachukua BA in Marketing na pia nikawa nakachukua BA in Finance, kozi zote nilisoma ndani ya miaka 5, kind of 2 courses at the same time. Baada ya hapo nikarudi tena Tanzania.
SWALI: Nini kilichotokea hadi ukajikuta uko cloudz FM?
RUGE: Wakati nipo Marekani, Joseph Kusaga alikuwa na disco, Clouds Disco, mimi nikawa supplier wake wa vifaa mbalimbali vya music, then hapo tuka-build good friendship. Sasa, niliporudi Tanzania baada ya kumaliza masomo yangu, Joseph Kusaga akanishawishi sana nibaki kutokana na opportunity zilizokuwepo za kuanzisha Radio na kuipeleka katika level nyingine kabisa, ndipo nilipojikuta nipo Clouds Entertainment.
SWALI: Tuambie kuhusu THT?
RUGE: Kama Clouds Entertainment tuliamua kuanzisha kampuni ya management ya wasanii ambayo tuliita Smooth Vibes ambayo ndiyo kampuni iliyowatoa wanamuziki kama Lady Jay Dee, Ray C na wengineo. Unajua utakuta kati ya wasanii watano, only mmoja au wawili wana-survive na suddenly utakuta msanii alikuwepo then kapotea. Hii inatokana na kutokuwa na foundation nzuri. Hivyo nikaona ni bora nianzishe House of Talents ambayo sasa kupitia hiyo, tukawa tunawafundisha wasanii misingi ya muziki, kumfundisha msanii how to Manage Industry, Vocal Coaching, Music Business, Music Instrumentation, Dance Classes na kadhalika. Nikagundua kuwa unakuta msanii anaenda kwenye show lakini performance inakuwa mbovu na pia ili msanii aweze ku-last longer kwenye game anatakiwa ajue dancing. Ndio maana THT tukawa na dance classes. THT imewatoa wasanii wengi kamaMaunda Zorro, Mwasiti, Marlaw, Barnaba na wengineo. THT hadi sasa ina miaka minne.
SWALI: Ukiwa kama mmoja wa wadau wakubwa wa muziki hapa nchini, unadhani muziki wa Tanzania una mwelekeo gani?
RUGE: Ukichanganya na malengo ya THT, mwelekeo wetu ni mzuri. Sasa hivi wasanii wameanza kutulia, hawakurupuki kutoa nyimbo, wana-take time kujifunza mambo mengi. Tatizo kubwa lililopo sasa hivi ni upande wa mauzo.
SWALI: Je, umeshawahi kufikiria kufanya kazi nje ya Tanzania?
RUGE: Kwa ajili ya experience na kuangalia Industry inafanyaje kazi nchi nyingine, yeah. But kimsingi kwa upande wa maisha sifikirii kabisa kuondoka Tanzania.
SWALI: Profesheni yako ni nini?
RUGE: I cut across everything! Kifupi just call me mjasiriamali.
SWALI: Ukipewa nafasi ya kuongea na watanzania wote kwa ujumla, je una ujumbe gani ungewapatia?
RUGE: Wanalalamika sana as if wao ndio taifa lililolaaniwa kuliko yote. Ukiangalia hakuna taifa lenye freedom na nafasi ya kupata support kama Tanzania kwa sababu ya amani, abundance of resources, always, theres an opportunity ya kila kitu. Tatizo tunaridhika sana, sasa hebu angalia Distributors wa muziki ni wawili tu. Tumeridhika mapema sana, tuache kuridhika.
SWALI: Umechangia katika mafanikio ya watu wangapi hadi sasa? Wataje?
RUGE: Indirectly, nimechangia mafanikio ya watu wote kwenye sector yangu.
SWALI: Unadhani uliyoyafanya hadi sasa yanatosha? Kamahapana, je ungependa upatiwe support ya aina gani ili ufanikishe kufanya yote unayoyafikiria?
RUGE: Hapana hayatoshi. Nafikiri, support ambayo ningepewa ni kueleweka. Mimi sio mwanasiasa, nashughulika na entertainment. Entertainment is the third of 5, regardless uchumi uyumbe au usiyumbe entertainment na sala hazitabadilika, zitaendelea kuwepo siku zote kwa kuwa zote ni spiritual. Support ni kueleweka kwa hiki ninachokifanya.
SWALI: Ungepewa nafasi ya kuchagua mtu mmoja maarufu unayefikiri unaweza kufanya naye kazi hasa katika masuala ya kijamii, ungemchagua nani?
RUGE: I have people ninaowa-admire sana, people like January Makamba, hes young, exposed, he understands the needs, in terms of the government he supports a lot. Another person is Mohammed Dewji.
SWALI: Unamzungumziaje Mohammed Dewji?
RUGE: Amefanya jambo muhimu kuamua ku-invest in long-term kwenye sports. Ukiangalia alivyofanya kwa vijana wa mbagala ambao sasa ni Africa Lyon. Pia namsifia kwa vitu anavyofanya kwa jimbo lake la Singida mjini. Amekuwa na direct impact kwa watu aliowasaidia. He is a technical person, ni msomi na vitu anavyofanya vingi vinatokana na taaluma zaidi kuliko maamuzi ya kisiasa tu.
SWALI: Kama una neno lolote la mwisho kwa vijana wa kitanzania?
RUGE: Ni muda wa vijana sasa kubadilika kwa kuwa asilimia 60 ya watanzania ni vijana, its the same ratio uki-compare na nchi nyingine zilizoendelea. Dunia imebadilika sasa na sisi tubadilike.
Mo blog inamtakia Ruge kila la kheri katika mafanikio na mipango yake ya maendeleo katika maisha.
My Take
Nampongeza sana Ruge kwa juhudi anazozifanya katika kuwasaidia Vijana kukuza na kuendeleza vijana wenye vipaji kupitia taasisi yake ya Nyumba ya Vipaji(THT).Pia nimpongeze kwa bidii na juhudi zake katika kuianzisha na kuiendeleza Clouds FM Radio na sasa Clouds Television.Hongera sana Ruge,hakika u mfano wa kuigwa(kwa ujasiriamali wako) na vijana wengi nchini