Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi

Sam pizzo

JF-Expert Member
Sep 27, 2012
846
515
Wakuu habari za majukumu? Natumai mnaendelea vizuri na majukumu ya maisha ya kila siku. Kutokana na changamoto ya janga la Korona hivyo inatupasa kujikita zaidi katika "digital marketing" and "online businesses".

Nimeona humu jukwaani watu wakijaribu kuulizia na kutaka kufanya manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kwa maduka ya Nairobi kwa kupitia mitandao ya kijamii kama "facebook" na "instagram" ambayo ni 'very risks' hasa ukizingatia utapeli umeshamiri sana hasa kwa upande wa huku Kenya.

Hivyo basi nimepata wazo sababu ya siku za weekend nakuwa na muda mwingi wa bure na ukizingatia naishi katika viunga vya jiji la Nairobi, naweza kuwa nautumia kutafuta vifaa vya kielektroniki kwa mtu atakayekuwa na mahitaji hayo na atanilipa ujira kidogo kwa ajili ya muda nitakaotumia.

Nimeshatuma mizigo mingi kuja huko Tanzania ambayo nimeagizwa na baadhi ya marafiki zangu...kutokana na bei ya hivyo vifaa kwa huku Kenya inakua ni nafuu kidogo tofauti na huko Tanzania.

Hivyo basi itachangia mimi kupata kipato kidogo kipindi cha muda wangu wa bure pia na wewe itakusaidia kupata genuine product kwa affordable price. Gharama za utumaji zitakuwa ni juu ya mtu anaeagiza.

Nakaribisha maoni, ushauri, mapendekezo, maboresho na mawazo
Contact: WhatsApp number +254 759 071 040

CC: Chief-Mkwawa
 
Wakuu habari za majukumu? Natumai mnaendelea vizuri na majukumu ya maisha ya kila siku. Kutokana na changamoto ya janga la Korona hivyo inatupasa kujikita zaidi katika "digital marketing" and "online businesses".

Nimeona humu jukwaani watu wakijaribu kuulizia na kutaka kufanya manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kwa maduka ya Nairobi kwa kupitia mitandao ya kijamii kama "facebook" na "instagram" ambayo ni 'very risks' hasa ukizingatia utapeli umeshamiri sana hasa kwa upande wa huku Kenya.

Hivyo basi nimepata wazo sababu ya siku za weekend nakua na muda mwingi wa bure na ukizingatia naishi katika viunga vya jiji la Nairobi, naweza kuwa nautumia kutafuta vifaa vya kielektroniki kwa mtu atakayekuwa na mahitaji hayo na atanilipa ujira kidogo kwa ajili ya muda nitakaotumia.

Nimeshatuma mizigo mingi kuja huko Tanzania ambayo nimeagizwa na baadhi ya marafiki zangu...kutokana na bei ya hivyo vifaa kwa huku Kenya inakua ni nafuu kidogo tofauti na huko Tanzania.

Hivyo basi itachangia mm kupata kipato kidogo kipindi cha muda wangu wa bure pia na wewe itakusaidia kupata genuine product kwa affordable price. Gharama za utumaji zitakua ni juu ya mtu anaeagiza.

Nakaribisha maoni,ushauri, mapendekezo, maboresho na mawazo

CC: Chief-Mkwawa
Hebu tuanze na ushahidi wa vi picha alafu ukiwa serious utapiga sana pesa
 
Nina ushahidi wa hivi karibuni ambao ilikua ni printer aina ya "HP Color LaserJet Pro MFP M479fdn" ni jamaa yangu amepata zabuni ya wizara fulani hapo makao makuu ya nchi aliomba nimsaidie kununua huku maana huko Tz hazipo

Risiti ya malipo na ya kutuma mzigo (courier service) nimeambatanisha
20220111_160329.jpg
20220111_182203.jpg
 
Kwa mfano TV flat huku kenya shm ngapi na huku Tz sh? Ngapi?
Unatakiwa utaje ni TV ya aina gani na sifa zake nyingine niende nikaulize. Kuna utofauti mkubwa sana wa bei kati ya Tanzania na Kenya.

Mfano mm nilinunua Samsung Galaxy A50 kwa 25,000kshs (500,000Tzs) mwaka 2020 lakini kwa huko Tanzania ilikua inauzwa maeneo mengi around 680,000Tzs (34,000Kshs)
 
Unatakiwa utaje ni TV ya aina gani na sifa zake nyingine niende nikaulize. Kuna utofauti mkubwa sana wa bei kati ya Tanzania na kenya
Napenda kati ya Hisense, TCl au Samsung au hata LG na na Sony inch 32.series atleast kuanzia 5
 
Sawa tutakuamini vp sasa na hii dunia ilivyo haribika
Ni swali zuri mkuu,
kKkubwa ni mm niwe mwaminifu kwenu ili biashara iwe endelevu kwasababu nikimuibia mtu humu nitaharibu biashara. Mathalani nidhulumu milioni moja ya mtu haitanifikisha mahali na nitakuwa nimeharibu uaminifu hivyo kupelekea biashara kufa.

Jambo lingine ni imani ni kama unavyoagiza mzigo/kifaa kutoka kampuni binafsi za nje ya nchi kama AliExpress, Alibaba, Ebay. Mimi nimependelea kutumia muda wangu wa ziada kuingiza kipato kidogo na kwa wakati huohuo nakusaidia kupata kifaa/vifaa unavyohitaji kutoka huku Kenya maana nimeona watu wengi wakiwa wanaulizia sana. Chief-Mkwawa amekua akipendekeza sana vifaa vya kielektroniki watu wanunue huku Kenya kutokana na unafuu wa bei kulinganisha na huko Tanzania.

Kama nitakuwa nimekosea naomba kurekebishwa na pia kama kuna njia inayoweza kutengenezwa ya uaminifu inakubalika yakitolewa mapendekezo ni sawa; mfano kutuma pesa kwa njia ya PayPal
 
Back
Top Bottom