Kiukweli mimi namfahmu huyo dada...aliezaa na mahita na nadhani hata watu wote wa mkoa wa kilimanjaro wanamjua alikua ni trafic mjini moshi kabla ya kuhamishiwa wilayani hai...nadhani mahita na familia yake wanamfahamu huyu mtoto vizuri kabisa na kiukweli si kitu cha kujificha kwa maasakari wa moshi kwani wengi wanamjua huyo askari na mtoto wake hapa mahita ndo anaonekana kichaa kabisa
alikuwa anapenda sana kavu kavu hayo ndo matokeo yake sasa
Mzee wa kufukua makaburi!
Mzee wa kufukua makaburi!
Mzee wa kufukua makaburi!