Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Utajua ujui 😂😂😂 ukiona inazid kuzama na unaumia sana chomoaaa!!!Gaidi anaachiwa alafu Sabaya mtetezi wa wanyonge anateswa bure tu
Utajua ujui 😂😂😂 ukiona inazid kuzama na unaumia sana chomoaaa!!!Gaidi anaachiwa alafu Sabaya mtetezi wa wanyonge anateswa bure tu
Kwa clip hii halafu anatokea taahira anamtetea Sabaya!!!? Nakuwa simuelewi kabisa!
Kumbe hilo ni bwabwa!!!Utajua ujui 😂😂😂 ukiona inazid kuzama na unaumia sana chomoaaa!!!
Wamasai hawajenda kulia mahakani tena?Jana mawakili wa Sabaya na wenzake watano wameweka pingamizi la awali katika kesi ya rufaa waliyofunguliwa na Serikali.
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imetupilia mbali pingamizi lililowekwa na mawakili wa utetezi katika kesi ya rufaa iliyofunguliwa na Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake watano.
Uamuzi huo umetolewa leo Jumatano Desemba 14, 2022 na Jaji Salma Maghimbi ambaye anasikiliza shauri hilo, baada ya jana kusikiliza hoja za pande zote mbili. Jana mawakili wa Sabaya na wenzake watano wameweka pingamizi la awali katika kesi ya rufaa waliyofunguliwa na Serikali.
Wamelia hadi machozi yamekauka imebidi waache tu.Wamasai hawajenda kulia mahakani tena?
Ubarikiwe mkuu, ninatamani kipengele cha kwanza na cha pili kimkute na mungu asaidie kitimie.Kwanza, ile hukumu ya awali kwenye mahakama ya mkoa itatekelezwa.
Pili, Kuna uwezekano kifungo alichofungwa kikaongezwa na mahakama ya kuu ya Tanzania
Tatu, Sabaya anaouwezo wa kukata rufaa kwenye mahakama ya mwisho Yani Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.
Nne, iwapo mahakama ya Rufaa itampata ana hatia Basi Sabaya ana nafasi ya mwisho ya kuomba Revision kwenye mahakama ya Rufaa Tanzania. Hiyo ndio mwisho.
Tano, iwapo revision ya mahakama ya Rufaa itakuta hukumu ilikuwa sahihi, Basi Sabaya itabidi asibili msamaha wanrais presidential pardon.
Sema mmd wanguGaidi anaachiwa alafu Sabaya mtetezi wa wanyonge anateswa bure tu
Hii laana aliyopewa na huyu maza ni kiboko
Hii laana aliyopewa na huyu maza ni kiboko
Natamani aendelee kuwa hai ili naye aumie kama alivyoumiza wengineAfie jela huyu mwendawazimu. Ikibidi anyongwe kabisa
Kama ana uwezo wa kurudisha sikio la yule mama aliyemkata, maumivu ya mtoto aliyempigilia misumari, pesa alizowapora watu, na kuurudisha ndani mwake uchafu alioutoa wakati anabaka, akiri kosa na kuahidi atayafanya hayo yote. Kisha akae jela japo miaka 5, halafu asamehewe.Sasaaa asee zamani nilisema wacha anyooke lakini sasa naanza kumuonea huruma,maana amenyooka hadi kapinda tena.kweli dunia ni tambala bovu.
hahahahaha. utajua hujui punguani wewe. yaani Marekani imruhusu gaidi aingie. mwambie makondo aende marekani uone kama hata pale ubalozini ataruhusiwa kuingiaGaidi anaachiwa alafu Sabaya mtetezi wa wanyonge anateswa bure tu
alivamia hoteli alipolala NANDYKama ana uwezo wa kurudisha sikio la yule mama aliyemkata, maumivu ya mtoto aliyempigilia misumari, pesa alizowapora watu, na kuurudisha ndani mwake uchafu alioutoa wakati anabaka, akiri kosa na kuahidi atayafanya hayo yote. Kisha akae jela japo miaka 5, halafu asamehewe.
Jiandae na wewe mkono wa sheria unakuja. Wote mliopora mali za wananchi hatutawaacha.Gaidi anaachiwa alafu Sabaya mtetezi wa wanyonge anateswa bure tu
Mimi nimecheka mpaka machozi yamenitokaWamelia hadi machozi yamekauka imebidi waache tu.
Mjane!!!!!! Mbona unajitaabisha? Njoo uwanja wa fisi udange angalau uupooze mwili kwani hiyo harudi Tena uraiani!Gaidi anaachiwa alafu Sabaya mtetezi wa wanyonge anateswa bure tu
sikuwahi kuisikia hii mkuu, duhkuna mzee wa CDM alikuwa anakaliswa kwenye mbao la misumari ya nchi mbili, matako yote yamelowa damu dadadeq....anakaa afu anasimama misumari inachoma inachomoka....
dogo msengeee.....