Sasa tukishaanza kuwa na viongozi wababe inaashiria nini? Siku zote huyu MBOWE mimi sijawahim kumwona kama ni leadership material at all. Hata sura yake tu imekaa ki bandit bandit hivi. Anazo kila dalili za kuwa dikteta huyu. Ukiangalia hata Bungeni ni kama anawaburuza tu wabunge wenzake hasa wanapotoka nje kususia. Naamini wengi wa wabunge wa CDM hawapendi huu mtindo wa kik wa kususasusa basi tu wamebanwa mbavu.Kumbe ni criminal mind! Ndio maana, sasa nimeelewa.
Kumbe CCM huwa mnaangalia sura vipi ya Wassira.Sasa tukishaanza kuwa na viongozi wababe inaashiria nini? Siku zote huyu MBOWE mimi sijawahim kumwona kama ni leadership material at all. Hata sura yake tu imekaa ki bandit bandit hivi. Anazo kila dalili za kuwa dikteta huyu. Ukiangalia hata Bungeni ni kama anawaburuza tu wabunge wenzake hasa wanapotoka nje kususia. Naamini wengi wa wabunge wa CDM hawapendi huu mtindo wa kik wa kususasusa basi tu wamebanwa mbavu.
Wataua kabisaKama Mwenyekiti anapiga watu ngumi je viongozi wengine itakuwaje
Asante kwa busara zakoacheni lugha chafu kwa kisingizio cha mapinduzi . kapigwa mtu mzima assume BABA yako ndo alipigwa na mbowe makofi kisha wanamapinduzi wanamtetea!!!! mwenye kujali haki huanza kwa mmojammoja na wala huwezi kuongoza familia kijuha kisha ukaongoza umma kwa busara, kosoeni mtu ili ajifunze. mchana mwema.
Kama Mwenyekiti anapiga watu ngumi je viongozi wengine itakuwaje
Sasa tukishaanza kuwa na viongozi wababe inaashiria nini? Siku zote huyu MBOWE mimi sijawahim kumwona kama ni leadership material at all. Hata sura yake tu imekaa ki bandit bandit hivi. Anazo kila dalili za kuwa dikteta huyu. Ukiangalia hata Bungeni ni kama anawaburuza tu wabunge wenzake hasa wanapotoka nje kususia. Naamini wengi wa wabunge wa CDM hawapendi huu mtindo wa kik wa kususasusa basi tu wamebanwa mbavu.
Nobody is above the law,let him rot in jail! Swain
Kukiuka sheria sio suruhisho la kuleta ukombozi ni bora kuhakikisha mahakama inaheshimiwa