Mahakama ya Kisutu yamwachia huru mtuhumiwa wa mateso ya Dr. Ulimboka

Ni ile sinema ya kichina ya Kova akiwa kama sterling kwa ushirikiano,PoliCCM,TISSCCM, Migulu Michemba na CCM
 
Vituko vya hii nchi havishi,mambo kama haya ndio yanasabababisha watu wazidi kuishiwa Imani kwa hii serikali, maana haiwezekani mtu alitekwa akapigwa na hakuna mtu yeyote aliyekamatwa yaani haya mambo ya kijinga kabisa....wanaharibu hata maana ya neno serikali...
 
Vituko vya hii nchi havishi,mambo kama haya ndio yanasabababisha watu wazidi kuishiwa Imani kwa hii serikali, maana haiwezekani mtu alitekwa akapigwa na hakuna mtu yeyote aliyekamatwa yaani haya mambo ya kijinga kabisa....wanaharibu hata maana ya neno serikali...
Tangia kamanda Kova alivyoonekana kwenye TV akilielezea hili suala, hata wale wasiokuwa na utaalamu na mambo ya sikolojia waliona kuwa kuna uongo wa wazi unaendelea.
Aibu zaidi ni kuwa hata baada ya uongo huo kuwekwa wazi na chombo cha sheria na waliodanganya umma wote wanajulikana bado hakuna hatua inayochukuliwa na wote wanaendelea kukalia ofisi za umma huku Dr. Ulimboka akiendelea kutibu majeraha ya mwili na akili!
Jf ilitoa mchango mkubwa katika kuuleza uongo huu.

 
Polisi wa Tanzania tuu majuha kweli kweli. Tunaacha kumkamata mtuhumiwa halali ambaye hata ulimboka anawafahamu ndiyo waliomtesa tunaenda kukamata vichaa ili kupoteza issue. watuhumiwa wanafahamika ni Rama na hemedi msangi. Pengine hata mwigulu (aka zombi) anahusika. halafu watasema ni upepo na umepita. kwa Mungu je.......
 
Ni baada ya DPP kuwasilishA HATI ya nia ya kutoendelea na kesi hiyo chini ya kifungu 98 cha sheria ya uendeshaji mashtaka ya jinai.

Dr. Ulimboka alijiteka mwenyewe kama vile CHADEMA walivyojilipua wenyewe wakati wakihitimisha kampeni za udiwani pale Arusha hivi karibuni. Sababu ya kujiteka ili apate umaarufu...based on the observation made by a bachelor graduate (2001) from Washington International University Bw. William Lukuvi lectured in the Parliament Session in Dodoma recently.
 
481828_372521952854525_1089670017_n.jpg
 
Ni baada ya DPP kuwasilishA HATI ya nia ya kutoendelea na kesi hiyo chini ya kifungu 98 cha sheria ya uendeshaji mashtaka ya jinai.

tuliyategemea haya toka mwanzo . Wanachofanya ni jinsi gani ya kusubirisha ishu itoke top ten basi.
Mukulu anasemaga upepo mubaya upite.
 
Hii ni habari mbaya kwa Kibanda...Namchukia Kibanda kwasababu ya kutowatendea haki watanzania, aliporudi alisema kuwa hatawataja wahusika wa tukio lake mapema. Mpaka sasa sijui nini kinaendelea.
 

Ajabu ni kuwa aliyepigwa mwenyewe bado hajahojiwa na Polisi. Hivi sasa sio vichekesho bali ni vilio. Hapo hata mtoto mdogo anajua nani kahusika na ukatili huo.
Mwaka 2016 tutashuhudia makubwa sana katika mahakama zetu maana makosa ya jinai hayana muda wa ku expire, tumeona wafuasi wa Hitler wanapelekwa mahakamani baada ya miaka 50 kupita itakuwa haya ya Ulimboka na wengineo?

Napata wasiwasi na kuwaza labda ata ulimboka kapewa rushwa apige kimya! Noma sana Hii ndi Tz na pesa haramu
 
Hii ni habari mbaya kwa Kibanda...Namchukia Kibanda kwasababu ya kutowatendea haki watanzania, aliporudi alisema kuwa hatawataja wahusika wa tukio lake mapema. Mpaka sasa sijui nini kinaendelea.

kwa mfano ilipoonekana wazi kuwa kamanda RPC Kamuhanda alikuwa pale kwenye tukio la kuuwawa MWANGOSI...NA HATA ALIPOTAARIFIWA NA AFISA MDOGO KUWA yule anayepigwa ni mwandishi na kamuhanda akaonekana kufunga kioo na kutojali chochote....je unasubiri mwangosi afufuke amtaje kamuhanda? huyo kamuhanda si amepandishwa cheo....nini kimefanyika zaidi ya kupiga ngonjera tu.....inahitajika kazi kubwa sana ifanyike katiba mpya iweke mazingira mazuri ya uwepo wa menokwa tume ya haki za binadamu....tume ya haki za binadamu ipewe meno makali ya kufanya uchunguzi na kuwasummon wale wanaotajwa ...kw mf Dr Ulimboka alimtaja afisa wa ikulu...tume inapewa meno inamsummon ...afisa ataeleza tu maelekezo yalitoka wapi...lile jambo la utekaji lilipangwa na nani? kikao kilifanyika wapi? tume halafu ipewe uwezo wa kuwafungulia mashtaka hata kama wahusika ni viongozi wa ngazi kubwa kiasi gani...kauli ya liwalo na liwe itolewe siku moja kabla halafu kesho yake tukio linatokea...inamaanisha nini? tume inapewa uwezo hata wa kumhoji IGP au PM.
 
Napata wasiwasi na kuwaza labda ata ulimboka kapewa rushwa apige kimya! Noma sana Hii ndi Tz na pesa haramu

if u are not working for them,be analytical

Alishamtaja aafisa ikulu...nini kilifanyika? huyo ni afisa wa ngazi ya kati tu...ameshindwa kushughulikiwa...je akitaja wakubwa ? utafanya nini?
 
Back
Top Bottom