Mahakama ya Kisutu yamwachia huru mtuhumiwa wa mateso ya Dr. Ulimboka

DPP sasa hivi kabanwa kweli......mana alikuwa ameweka sheria pembeni...ujinga mbele na ushabiki mbele....its too late

Ofisi yake ni moja kati ya ofisi zinazothibitisha udhaifu wa serikali ya ccm!
 
Ofisi yake ni moja kati ya ofisi zinazothibitisha udhaifu wa serikali ya ccm!
......Ni kweli mkuu angalia kesi zao za ajabu ajabu za ugaid...zote zimefutwa......angalia kesi ya UDA wameichakachua maksudi.....ile kitu ya ofisi ya msajili wa vyama inabidi ipite na huku....
 
watanzania na hasa hapa jamiiforums ni kama mazuzu wakati mwingine.si mlikuwa mnasema aliyemtesa ulimboka hajakamatwa yule ofisa wa ikulu? sasa mlitaka huyu mkenya wa watu ashikiliwe daima kwa kuonewa?? shiiit.ni kama na huyu kibanda ameshindwa kuwataja sasanaojua wamemdhuru,sasa anaanza kuokoteza akina ludovick.nchi hii ni zaidi ya uijuavyo

Ni muda tu hata ile kesi ya dereva wa bodaboda kule Arusha itafutwa!
 
nchi ya si hasa, siasa, sanaa, usanii, masihara, ubabaishaji, utani, ubabaishaji, you name it.
 
kwani Uli mwenyewe c yupo?hp now ni wakati muafaka kwake kufunguka ili atueleze yaliiyo chini ya kapeti.
 
Mnaumiza vichwa vya nini? kutekwa atekwe Ulimboka, kupewa pesa ili asiwataje watekaji kapewa Ulimboka, kimya kakaa Ulimboka, kelele mpige njie wana JF! MAJANGAAA! MBONA MAJAMGAAAAAAAAAAAAA!:disapointed:
 
Dppccm ajiuzulu ameshindwa kufanya kazi kwa weledi na uaminifu.dppccm.
 
aliye mtesa ulimboka yupo wapi?kuachiwa huru kwa huyu jamaa kuna ashiria kuwa kesi imeisha?
 
Huenda wamesha elewana na Ulimboka waifute kesi kwa style hiyo
 
kwani Uli mwenyewe c yupo?hp now ni wakati muafaka kwake kufunguka ili atueleze yaliiyo chini ya kapeti.

atafungukia wapi wakati ashazibwa mdomo na dolari. Saa hizi mwenzio anakula kipupwe tu kwa kodi zetu
 
I's expectin it.. Nchi imekuwa ya matukio hii.. Kitendo cha nchi ya Kenya kukaa kimya wakati raia. wao anasota jela kwa mashtaka tobo kinanipa kinanipa mashaka sana..
 
Back
Top Bottom