Mahakama ya Kenya V/S Serikali

Mafie PM

JF-Expert Member
Mar 19, 2011
1,317
207
Nafikiri inafaa ifikie mahali mahakama yetu ya Tanzania kuwa na uwezo wa kutofautiana na Serikali sehemu zingine hasa kwa yale mambo ya msingi Kitaifa na Kimataifa, Mahakama zetu ziige msimamo wa Mahakama ya Kenya kuhusu amri ya ICC kumkamata Al Bashir, siungi sana mkono au kutounga mkono kukamatwa kwake ila ninachojaribu kukiangalia hapa ni Uthubutu wa Mahakama ya Kenya kutofautiana na msimamo wa Serikali yake hadharani.
Je kwanini na sisi tusiige mfano huo hasa kwa yale mambo ya msingi na yenye maslahi kwa Taifa? Maana mimi naona hapa kwetu kama serikali inai-remote mahakama ifanye kile serikali inachoona kinafaa.
Mwenye kuniisaidia kwa hili anielimishe kama niko wrong maana siyo mtaalam wa sheria mimi.
 
sasaaaa!! Yani kwamba .... Dah, yani mahakama inataka ku-act on the arrest warrant issued by ICC??

Hii naona haijakaa sawa, labda kama sheria za Kenya zimekaa kimagumashi.
Hii itakuwa hatari sana hii.

Anyway, ngoja wenye taaluma zao waje hapa. Mimi niulize kuhusu alternator, gear box, tyre road ends, radiator n.k.
 
Nafikiri inafaa ifikie mahali mahakama yetu ya Tanzania kuwa na uwezo wa kutofautiana na Serikali sehemu zingine hasa kwa yale mambo ya msingi Kitaifa na Kimataifa, Mahakama zetu ziige msimamo wa Mahakama ya Kenya kuhusu amri ya ICC kumkamata Al Bashir, siungi sana mkono au kutounga mkono kukamatwa kwake ila ninachojaribu kukiangalia hapa ni Uthubutu wa Mahakama ya Kenya kutofautiana na msimamo wa Serikali yake hadharani.
Je kwanini na sisi tusiige mfano huo hasa kwa yale mambo ya msingi na yenye maslahi kwa Taifa? Maana mimi naona hapa kwetu kama serikali inai-remote mahakama ifanye kile serikali inachoona kinafaa.
Mwenye kuniisaidia kwa hili anielimishe kama niko wrong maana siyo mtaalam wa sheria mimi.

That's why you do have the Executive, Congress and the Judicial system.
 
sasaaaa!! Yani kwamba .... Dah, yani mahakama inataka ku-act on the arrest warrant issued by ICC??

Hii naona haijakaa sawa, labda kama sheria za Kenya zimekaa kimagumashi.
Hii itakuwa hatari sana hii.

Anyway, ngoja wenye taaluma zao waje hapa. Mimi niulize kuhusu alternator, gear box, tyre road ends, radiator n.k.

Wenye taaluma ya jambo huli limekaaje?
 
Back
Top Bottom