Nafikiri inafaa ifikie mahali mahakama yetu ya Tanzania kuwa na uwezo wa kutofautiana na Serikali sehemu zingine hasa kwa yale mambo ya msingi Kitaifa na Kimataifa, Mahakama zetu ziige msimamo wa Mahakama ya Kenya kuhusu amri ya ICC kumkamata Al Bashir, siungi sana mkono au kutounga mkono kukamatwa kwake ila ninachojaribu kukiangalia hapa ni Uthubutu wa Mahakama ya Kenya kutofautiana na msimamo wa Serikali yake hadharani.
Je kwanini na sisi tusiige mfano huo hasa kwa yale mambo ya msingi na yenye maslahi kwa Taifa? Maana mimi naona hapa kwetu kama serikali inai-remote mahakama ifanye kile serikali inachoona kinafaa.
Mwenye kuniisaidia kwa hili anielimishe kama niko wrong maana siyo mtaalam wa sheria mimi.
Je kwanini na sisi tusiige mfano huo hasa kwa yale mambo ya msingi na yenye maslahi kwa Taifa? Maana mimi naona hapa kwetu kama serikali inai-remote mahakama ifanye kile serikali inachoona kinafaa.
Mwenye kuniisaidia kwa hili anielimishe kama niko wrong maana siyo mtaalam wa sheria mimi.