Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,111
- 18,526
Okey, hili sikulijua asante kwa taarifa pia BBC wamelitolea ufafanuzi.Kumbuka hii rufaa ni ya siku nyingi wakiwa gerezani bado, hivyo haingeacha kusomwa eti kwa sababu walishatoka kwa msamaha wa Rais! Maadamu shauri lilikuwa mahakamani, hapakuwa na budi, liisha!!!!