Mahakama mkoani tabora yamvua madaraka mbunge wa igunga Dk kafumu.

Jan 7, 2012
61
7
Ni baada ya mlolongo mrefu wa kesi kwamba uchaguzi mdogo wa igunga haukuwa wa huru na haki, ndipo hayawihayawi yawa dk kapigwa chini kwahy tunasubiri uchaguz mdogo tupate jembe la chadema peoples power.
 
Back
Top Bottom