I smell a rotten rat.
Hizi danadana sio za bure.... Nahisi wanataka wachakachue halafu watoe uamuzi at the 11th hour kusiwe na nafasi ya kukata rufaa!!!
I hope am wrong though.
kesho tens watasema kesho
leo alhamisi mahakam kuu ya tanzania kanda ya dar es salaam imeahirisha kesi ya maamuzi ya kulinda kura mita 200 baada ya kupiga kura ya maamuzi. Kesi itaamuliwa tena kesho ijumaa tarehe 23 october
Leo alhamisi mahakam kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam imeahirisha kesi ya maamuzi ya kulinda kura mita 200 baada ya kupiga kura ya maamuzi. Kesi itaamuliwa tena kesho ijumaa tarehe 23 October