Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Katika mdahalo kati ya Mh.Ndugai na Mh Tundu Lisu uliorushwa live katika kituo cha Star TV, Ndugai alisema kuwa CHADEMA wanavaa magwanda kama mgambo kuitisha serikali.
Je hakuona haya magwanda ya chama chake CCM?
Je hakuona haya magwanda ya chama chake CCM?