tity
Member
- Oct 16, 2015
- 44
- 15
1. Futa matumizi ya mashangingi kwa wabunge na watumishi wa uma wote
2. Futa posho zote za maudhurio ya wabunge(sitting allowances)
3. Futa posho zote za vikao kwa watumishi wa uma
4. Ondoa msamaa wa kodi za magari kwa wabunge
5. Kila kiongozi aweke wazi mali zake zote n madeni ili wananchi tujue
6. Mikataba yote inayolihusu taifa iwekwe wazi ili wananchi tuhoji..(mipya pamoja na ya zamani)
7. IAMURU ZEC IMTANGAZE MSHINDI MARA MOJA.
8. Malipo na misamaha ya kodi kwa makampuni vyote viwe wazi ili tujue yupi kalipa na yupi kasamehewa na kwa sababu gani...
9. Punguza mshahara wa rais ($180,000 kwa mwezi) ni nyingi sana..
2. Futa posho zote za maudhurio ya wabunge(sitting allowances)
3. Futa posho zote za vikao kwa watumishi wa uma
4. Ondoa msamaa wa kodi za magari kwa wabunge
5. Kila kiongozi aweke wazi mali zake zote n madeni ili wananchi tujue
6. Mikataba yote inayolihusu taifa iwekwe wazi ili wananchi tuhoji..(mipya pamoja na ya zamani)
7. IAMURU ZEC IMTANGAZE MSHINDI MARA MOJA.
8. Malipo na misamaha ya kodi kwa makampuni vyote viwe wazi ili tujue yupi kalipa na yupi kasamehewa na kwa sababu gani...
9. Punguza mshahara wa rais ($180,000 kwa mwezi) ni nyingi sana..