Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

CCM ipo katika hatua za mwisho za urushaji mateke ya kukata roho,dalili ni nyingi,Push ups katika mikutano ya Siasa,Tafiti tata za Twawezwa na REJECT,iga iga ya kauli mbiu,ahadi danganya toto zisizohesabika wala kutekelezeka,Kuandaa matamasha badala ya mikutano,nunua nunua ya Viongozi wasaliti na Wasanii mizigo wakati wana Mabadiliko ni Wananchi ambao hawanunuliki,sombasomba ya wanachama na wasio wanachama kwa malori na mabasi,honga honga ya fedha,kanga,vitenge,Tshirts na Kofia,kejeli na matusi kwenye majukwaa ya Siasa,kusambaratika kwa timu ya watu 32 ya Kampeni ya CCM,n.k!Wana UKAWA tunasema ‪#‎HapaZikaTu‬!..Lowassa TOSHA KABISA!!
 
Ni kweli kabisa kuwa ccm itashinda tena zaidi ya 75%,shida ya ukawa na wanafamilia wa ukawa wapo kwenye mission ya kutaka nchi kwa garama yoyote ila ukiwauliza nini haswa ni vission yao watakuambia ni kuitoa CCM then what next? Hakuna jibu la maana,Ukweli ni kwamba ukawa wamejitahidi sana ku hijack akili za watuo wao hivyo kila mwana ukawa yupo kwenye minded hijacking, siku zote CCM hushinda na kufanikiwa mambo yake kwa sababu hutumia helicopter approach na si mind hijacks ambayo imesha waingia team ukawa. m
Kama heading iliovyotangulia naona ushindi mkubwa sana katika uchaguzi huo,DHIDI YA VYAMA PINZANI TZ na sababu kubwa ni kwamba;
1. CCM inahazina kubwa ya washabiki lukuki wasomi,wataalamu wa siasa 'wazee,vijana wa kati wenye ajira za kudumu na wachache wasio na ajira rasmi ,wanao- ishi mijini na vijijini.
vyama pinzani vimeonyesha kukita mizizi mijini na hasa miji mikubwa.

2. CCM INA MATAWI NA WANACHAMA inchi nzima kuanzia kijijini hadi makao makuu wakati baadhii ya vyama hawana hata ofisi vijijini wala mijini na wapo dar tu na sehemu walikozaliwa tu.

3. CCM ina mikakati na mbinu za ushindi zinazochangiwa na hazina kubwa ya raslimali watu na mikwanja ya kutosha inayotoka na vitegauchumi vingi vya chama,huku vyama pinzani vikiwa havina hata magari ya kufanyyia kampeni na kuwafikia watu wengi vijijini na huku campain zao zikijikita zaidi kuing'oa CCM bila kujua wataing'aje

Na ww ukipenda ongeza yako;
by
Mawazo huru
 
Kati ya mawaziri wachapakazi na wazalendo ni Prof. Muhongo, aliweza kulibadili shirika letu la Tanesco kwa kiwango cha hali ya juu sana. Ombi langu kwa Raisi wangu ajaye Mh. John Pombe Magufuli, Please bring back Prof. Muhongo tuweze kusonge mbele kama taifa kwenye nishati na madini. maslahi ya wachache wasitunyime kiongozi wenye weredi kama Prof. katika katika ya umeme uliisha. tunamuitaji atutengenezee taifa lenye uhakika wa nishati na naamini hata bei za umeme zitashuka.
 
Hata Lowasa akiingia itakua vyema akimteua muhongo katika hii wizara bila kujaji katoka CCM, aliimuda sana huyu prof.
 
heee kuna dili mliliacha liko katikati? amrudishe wa nini huyo, wapo vijana wengi sana ktk timu yake, muhongo si naye anatimu yake iliyoshindwa kufika popote?
 
heee kuna dili mliliacha liko katikati? amrudishe wa nini huyo, wapo vijana wengi sana ktk timu yake, muhongo si naye anatimu yake iliyoshindwa kufika popote?

Hatufanyi ushabiki, muhongo ni kati ya wazalendo wa hali ya juu kwenye taifa hili, wafanyabiashara wenye uchu na gesi ndio waliohakikisha anatoka. kwa maslahi mapana ya taifa hili tunamuitaji muhongo nishati na madini
 
Kwa kila dalili za kampeni na watu wengi wasomi na wasio wasomi zinaonyesha kuwa Dk. Magufuli atakuwa Rais wa Tanzania. Pia ukiona kampeni ya CDM na Ukawa na team yao wanachanganyikiwa hata pale ukimwona mgombea wao anaweweseka na kusema maneno ya kutojiamini. Hizi ni dalili tosha mambo yao pamoja na jahazi lao yanaenda kombo.

Hapa CDM inatapatapa wameanza wote kuweweseka. Baba, Baba Magufuli "Hapa Kazi Tuu!"
 
Kwa kila dalili za kampeni na watu wengi wasomi na wasio wasomi zinaonyesha kuwa Dk. Magufuli atakuwa Rais wa Tanzania. Pia ukiona kampeni ya CDM na Ukawa na team yao wanachanganyikiwa hata pale ukimwona mgombea wao anaweweseka na kusema maneno ya kutojiamini. Hizi ni dalili tosha mambo yao pamoja na jahazi lao yanaenda kombo.

Hapa CDM inatapatapa wameanza wote kuweweseka. Baba, Baba Magufuli "Hapa Kazi Tuu!"


Maandalizi ya kuapishwa kwake yameanza tayari.
 
Labda raisi wa ccm hapo sawa.kama ni raisi watanzania bado.magamba bwana haya wahi kachukue buku saba zako lumumba
 
Hayo ni mawazo yako na co kila mtu lazma afanane na fikra zako,,hapo tatizo ni kuzidiana ufahamu nina shaka na elimu yako kama hujasoma najitolea kukulipia ada urud shule maana unachokisema inaonekana elimu imekupita kushoto,,,lowasa ndo raisi,,ccm ndo wanatapatapa mara wasanii,mara kupakia watu kwenye maroli,mara wanawavalisha tshirt za chadema wanawapa ha hela wanawaambia waandamane, yaaan siasa za kizamaaaaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom