Magufuli siyo sawa na Mubarak wala Gadaffi

Aseee hayo maandamano
Mbona mnanitisha sasa?
Binafsi sina habari na maandamano na watakao Andamana watakiona cha mtema kuni
(Vice versa is true)
 
Mikakati ya hao wanaopanga kuandamana ili hatimaye wamuondoe ikulu rais Magufuli ni mibovu sana.

Huwezi kumlinganisha rais Magufuli na hao akina Mubarak au sijui Gadaffi. Majitu yaliyokaa kwenye madaraka miongo na miongo.

Rais Magufuli kachaguliwa kidemokrasia [hata kama wengine hawakukubaliana na matokeo].

Tena kachaguliwa kihalali.

Rais Magufuli hata miaka mitatu madarakani hajafukisha.

Sasa unapoandaa maandamano yenye lengo la kumpindua, jua hakuna kundi, taasisi, au yeyote yule mwenye akili timamu atakayekuunga mkono.

2020 siyo mbali kivile. Kwa nini usisubiri hadi wakati huo ili umtoe kupitia nguvu ya kura?

Okay, utasema kuwa labda CCM wataiba kura.

Sawa, kama wataiba kura kweli hapo ndipo itakuwa muda muafaka kabisa wa kuitisha maandamano nchi nzima na kupinga yaliyotokea kwenye uchaguzi.

Hapo hata jumuiya ya kimataifa itakuwa na nafasi nzuri ya kukuunga mkono.

Lakini hii ya kupiga makelele mtandaoni na kushindana kumtukana mtu aliyechaguliwa kihalali haitofanikiwa kamwe.

Itaanzania na kuishia mtandaoni tu.

Hivyo shime wote msiompenda Magufuli. Pangeni mikakati mizuri. Acheni kupayuka na kulialia mitandaoni na mjipange ili 2020 ikifika mnamrudisha Chato huyo msiyempenda.
kwani mitandaoni wanaongea watu au vinyago?
 
Mimi nasubiri tu "thread" yako ya "Nilisema hakuna wa kuandamana......." maana naona unaombea sana yasifanikiwe ili upate la kusema

Mimi siombei chochote kuhusu hayo maandamano.

Ninatoa maoni yangu kulingana na ninavyowajua Watanzania.

Hivyo hakuna maombi yoyote hapa!
 
Maandamano ya kwenye mitandao waandamanaji wapo sio yale maandamano ya barabarani hakuna watu hapo
 
Yaani watu wazima mnatoka hadharani na kuanza kutishia watu kwa kauli za binti mdogo tena anayeishi mbali kabisa.
Mkiitwa vichaa mnalaumu, yaani Mange anawatoa nyote pangoni tena kwa maandamano ya mtandaoni. Sasa leo mkiulizwa nani kasema kutakuwa na maandamano...mtasema ni Mange?
 
Unajua wewe Bw/Bi/Bibi Nyani unakosea sana ukitoa uzi ukaanza tena kujibizana na comments za watu unauharibu kabisa uzi wako.Unachotakiwa kufanya ni kusoma comments zao tu na labda kujibu nadra sana kitu kinachohitaji maelezo,ufafanuzi nk.Samahani kama nimekukwaza ila ni katika kujenga.One can easily tell whom u are thru ur comments
 
Unajua wewe Bw/Bi/Bibi Nyani unakosea sana ukitoa uzi ukaanza tena kujibizana na comments za watu unauharibu kabisa uzi wako.Unachotakiwa kufanya ni kusoma comments zao tu na labda kujibu nadra sana kitu kinachohitaji maelezo,ufafanuzi nk.Samahani kama nimekukwaza ila ni katika kujenga.One can easily tell whom u are thru ur comments

So who am I through reading what I write here?
 
Mikakati ya hao wanaopanga kuandamana ili hatimaye wamuondoe ikulu rais Magufuli ni mibovu sana.

Huwezi kumlinganisha rais Magufuli na hao akina Mubarak au sijui Gadaffi. Majitu yaliyokaa kwenye madaraka miongo na miongo.

Rais Magufuli kachaguliwa kidemokrasia [hata kama wengine hawakukubaliana na matokeo].

Tena kachaguliwa kihalali.

Rais Magufuli hata miaka mitatu madarakani hajafukisha.

Sasa unapoandaa maandamano yenye lengo la kumpindua, jua hakuna kundi, taasisi, au yeyote yule mwenye akili timamu atakayekuunga mkono.

2020 siyo mbali kivile. Kwa nini usisubiri hadi wakati huo ili umtoe kupitia nguvu ya kura?

Okay, utasema kuwa labda CCM wataiba kura.

Sawa, kama wataiba kura kweli hapo ndipo itakuwa muda muafaka kabisa wa kuitisha maandamano nchi nzima na kupinga yaliyotokea kwenye uchaguzi.

Hapo hata jumuiya ya kimataifa itakuwa na nafasi nzuri ya kukuunga mkono.

Lakini hii ya kupiga makelele mtandaoni na kushindana kumtukana mtu aliyechaguliwa kihalali haitofanikiwa kamwe.

Itaanzania na kuishia mtandaoni tu.

Hivyo shime wote msiompenda Magufuli. Pangeni mikakati mizuri. Acheni kupayuka na kulialia mitandaoni na mjipange ili 2020 ikifika mnamrudisha Chato huyo msiyempenda.
Amechaguliwa na tume ya uchaguzi na sio wananchi, ccm 2015 haikushinda si Zanzibar si tanganyika.

Tofauti ipo kubwa sana, nchi yetu kila siku vipolo vya maiti vinaokotwa na watu kutekwa, ila Gaddafi na nchi yake haikuwa na matukio ya kutisha kama tz.

Tz risasi kweupe, mchana, halafu wewe unaleta hii habari ujue huko salama kwa sababu unapanda bus ukitoka safari zako omba dua risasi zipigwe chini, kwa maana ikipigwa juu ujue inakuja kwenye mbavu zako kwenye siti ulio keti.

Hizi risasi zina muundo wa nyuklia za North Korea, hupaa juu na kushuka chini
 
Hili jambo la maandamano ni serikali yenyewe inalikuza, wao ndiyo wanayatangaza haya maandamano, na hata hapa JF wanaojadili haya maandamano ni watu wa Lumumba. Ningekuwa mshauri wa serikali ningewaambia watulie tu na kuanagalia kimya kimya bila kupiga kelele, yangeishia humu humu mitandaoni, lakini wanatumia nguvu kuuuubwa kwa ishu amabayo mimi naona haipo, yaani ni kama Mange anawachezesha gwaride kwa kutumia keyboard.
 
Mikakati ya hao wanaopanga kuandamana ili hatimaye wamuondoe ikulu rais Magufuli ni mibovu sana.

Huwezi kumlinganisha rais Magufuli na hao akina Mubarak au sijui Gadaffi. Majitu yaliyokaa kwenye madaraka miongo na miongo.

Rais Magufuli kachaguliwa kidemokrasia [hata kama wengine hawakukubaliana na matokeo].

Tena kachaguliwa kihalali.

Rais Magufuli hata miaka mitatu madarakani hajafukisha.

Sasa unapoandaa maandamano yenye lengo la kumpindua, jua hakuna kundi, taasisi, au yeyote yule mwenye akili timamu atakayekuunga mkono.

2020 siyo mbali kivile. Kwa nini usisubiri hadi wakati huo ili umtoe kupitia nguvu ya kura?

Okay, utasema kuwa labda CCM wataiba kura.

Sawa, kama wataiba kura kweli hapo ndipo itakuwa muda muafaka kabisa wa kuitisha maandamano nchi nzima na kupinga yaliyotokea kwenye uchaguzi.

Hapo hata jumuiya ya kimataifa itakuwa na nafasi nzuri ya kukuunga mkono.

Lakini hii ya kupiga makelele mtandaoni na kushindana kumtukana mtu aliyechaguliwa kihalali haitofanikiwa kamwe.

Itaanzania na kuishia mtandaoni tu.

Hivyo shime wote msiompenda Magufuli. Pangeni mikakati mizuri. Acheni kupayuka na kulialia mitandaoni na mjipange ili 2020 ikifika mnamrudisha Chato huyo msiyempenda.
narrow thinking! akili ndogo hizi. kwamba kwa sababu amechaguliwa kidemocrasia baasi achwe afanye atakayo.kwamba kwa sababu hajamaliza miaka mitatu ndiyo atishe watu kama alivyofanya huko chato? shwaini zake wewe wewe uliona wapi kiongozi aliyechaguliwa kidemocrasia anayetaka aogopwe na waliomchagua? wewe kina polepole wanafanya mikutano nchi nzima huku wengine wapo ndani wewe unaleta ushoga hapa?
 
Back
Top Bottom