dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Yaah..Eneo hilo hata Tuzo anastahiliHahaha kwa maaana hiyo mzee wa Msoga ni mvumilivu sana
Yaah..Eneo hilo hata Tuzo anastahiliHahaha kwa maaana hiyo mzee wa Msoga ni mvumilivu sana
Kipi hujaelewa ndugu....anamaanisha CCM kwanza Taifa badaeMh.Rais "Nataka viongozi wa serikali wajue ccm ndo maboss wao" HAPO SIKUELEWA....!
Amezungumzia Ilani ya Chama..mabosi wa utumishi wa umma.siasa kurudi maofisini.....au sikuelewa ?
Una vunga kufa?.
Chagadema ndo wa kwanza kumuita fisadi mwembe yanga.
List of shame
Mungu katuletea Magufuli ili kutudhihirishia kuwa Jakaya Kikwete ni Mwanasiasa bora zaid
Akitokea ligi kuu au daraja la ngapi vile?!Nasikia Sumaye anacheza ligi za mchangani kibaha.
Kumbe ns wewe ulikuwa unaangalianaona wezi wote walioobia hii nchi wamo ndani na wamevaa kijani
Mwenyekiti mpya wa CCM John Magufuli amemsifu Kikwete kuwa na uvumilivu mkubwa na kusema hana uhakika kama yeye ana uvumilivu wa kiasi hicho.
Amesema kuna mkutano uliofanyika na watu wakawa wanaimba wana imani na mtu fulani robo au nusu wangeondoka siku hiyo hiyo, amewataka wajumbe wa CCM kumuombea kwa Mungu angalau awe na nusu ya uvumilivu wa Kikwete
"Nasema kwa dhati kabisa, Mheshimiwa mwenyekiti mstaafu, kuwa huo moyo wa uvumilivu ulio nao, sidhani kama mimi ninao.
Nakumbuka siku ile wanaimba eti wana imani na mtu fulani, ningekuwa mimi ndio mwenyekiti, robo au nusu wangepotea_.
Nawaomba sana ndugu wajumbe, mniombee nipate angalau nusu ya moyo wa uvumilivu alionao bwana Kikwete."
hivi kweli mnakiwanda?naona wezi wote walioobia hii nchi wamo ndani na wamevaa kijani
kupotezwa na kufukuzwa uanachama ni vitu viwili tofauti.Ndio maana watu wanasema hajui chama chake. Akasome kanuni zinasemaje kuhusu kufukuza mwanachama. Anadhani ukiwa mwenyekiti una mamlaka ya kumfukuza mwanachama ukijisikia kama alivyo rais kwa watendaji wa serikali?
Awe na kumbukumbu, waziri mkuu wake ndio kinara wa kuimbia tuna imani na fulani.
Busara za kikwete hakuna wa kuzifikia maana ametukanwa sana yupo kimya tu.ni mvumilivu mkuu
CCM wengi ukweli hawapendi, Sasa sijui kitu gani kinakufanya uwe mbishi kwenye mambo ya kweliWazee wa kuhamisha magoli naona sasa mnahamishia goli kwa Waziri Mkuu, Magufuli atawatbua wote Na unafiki wenu.
CCM wengi ukweli hawapendi, Sasa sijui kitu gani kinakufanya uwe mbishi kwenye mambo ya kweli